Tuombe Mungu, nami sasa naiona ww3 mlangoni!

Tuombe Mungu, nami sasa naiona ww3 mlangoni!

NIMEONA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2019
Posts
3,862
Reaction score
5,693
Sioni namna yoyote huyu urusi anaenda kuyaachia hayo maeneo aliyojitangazia....naona yupo tayari hata kwa kujitoa mhanga!

Nikiiangalia ile sura ya Putin siku anasema na kuihusisha nuclear, nauona wazi ujumbe wa 'bora iteketee mbali dunia yenyewe kuliko hawa West kunipelekesha'.....alikazia mara kadhaa kwa jicho kavu kuwa 'urusi haitanii safari hii'.

Jana imeripotiwa nyambizi yenye uwezo wa kubeba nuclear ipo baharini inarandaranda....

Kwamba Nord 1 & 2 yake vihujumiwe ye akae tu na minyukilia yake ndani?!!!

Kwamba nato wamdhihaki ye akae tu na minyuklia yake?!!!

Kwamba maadui wafike kremlin, ye akae tu anawaangalia na minyuklia yake?!!!!

Kwamba mambo yamharibikie mrusi mchina akae tu asifanye lolote kwa ajili ya kujiham8 nae?!!!!

Kwamba waongezewe vikwazo hadi washindwe kupumua nchini kwao nae akae anaangalia tu na minyuklia yake?!!!!

Huyo jamaa naona yupo tayari kwa lolote sasa!!!
 
Wakati huohuo jana Russia akisambaza nyambizi zake

... US ana muda sasa 24/7 anatusha ndege angani yenye crew ya watu wasiopungua 10, hasa intelligence officers, kazi yao ni kutazama kama kuna kiashiria chochote cha Russia kutumia Nuclear.

... Russia akitangaza hayo majimbo ni yake, huko kutafanya kupanua wigo mpana zaidi wa vita. Yale maeneo kihalali kabisa ni ya Ukraine, na sio yale tu bali hata Crimea. Huwezi ukayachukua halafu utegemee mwenye uhalali nayo akae kimya.

... Kutumia Nuclear sioni huo mlango, sio rahisi Russia kutumia Nuclear. Unatumia vipi Nuclear ukiwa kwenye vita ya watu wenye uhasama nao wapo karibu na wewe? Leo hii mahasimu wake kama US, UK, France wanashindwa kuweka Nuclear Ukraine ili Russia akifyatua tu, nao wafyatue? Mpaka ufike walipo US leo? Si tayari Russia itakuwa hoi? Russia hawezi kuthubutu kufanya hili.

... Vyombo vya usalama vyote vya Russia, hakuna maafisa wanaoweza wakaunga mkono wao kutumia Nuclear hasa wakitazama mahasimu wao US na UK jinsi walivyotamka endapo Russia akatumia nuclear.
 
IMG_8095.png
 
Russia annex 4 Ukrainian regions

Ukraine attacks those regions in an attempt to retake them back using Western supplied arms

Eventually Ukraine counteroffensive seems promising,

Russia uses tactical nukes upfront Ukraine's frontline,

The nuclear radiation fallout reaches Poland, Lithuania


Poland, Lithuania triggers NATO article 5, "we're under attack "

NATO bases on all Baltic States alerted,

Flocks of F35, F22, F16, F15, fleets has just owned the eastern European sky in just an hour. No fly zone created around all of Ukraine.

Russia orders another nuke launched towards Ukraine, in an attempt to protect annexed territories.

There are some disagreement between Kremlin generals, some are executed for denying orders.

Before it launched, NATO retaliate by completely dismantling any ability of Russia second strike: nuke silos, subs, radar, blacksea fleet, personnel.

Russia in panic mode, attempts to launch of what is remained in its arsenal,

NATO all in.

Moscow and st Petersburg falls by Monday.
 
Russia annex 4 Ukrainian regions

Ukraine attacks those regions in an attempt to retake them back using Western supplied arms

Eventually Ukraine counteroffensive seems promising,

Russia uses tactical nukes upfront Ukraine's frontline,

The nuclear radiation fallout reaches Poland, Lithuania


Poland, Lithuania triggers NATO article 5, "we're under attack "

NATO bases on all Baltic States alerted,

Flocks of F35, F22, F16, F15, fleets has just owned the eastern European sky in just an hour. No fly zone created around all of Ukraine.

Russia orders another nuke launched towards Ukraine, in an attempt to protect annexed territories.

There are some disagreement between Kremlin generals, some are executed for denying orders.

Before it launched, NATO retaliate by completely dismantling any ability of Russia second strike: nuke silos, subs, radar, blacksea fleet, personnel.

Russia in panic mode, attempts to launch of what is remained in its arsenal,

NATO all in.

Moscow and st Petersburg falls by Monday.
Ya kweli haya?!! 😳😳😳😳
 
Bora dunia ilipuliwe yote tuanze upya, safina iko wapi jamani nikajiandikishe …..

Ooh! Naam kwa taarifa za haraka naambiwa Nuhu(Lema) yupo kwa Moromboo anakusanya mbao za safina mdogo mdogo…
 
Back
Top Bottom