Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Hivi Kabwe kumbe aliitwa kima?Ukrain ile ukipita mtaani mtu mweusi wanakwita kima ndio unakwenda itetea??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Kabwe kumbe aliitwa kima?Ukrain ile ukipita mtaani mtu mweusi wanakwita kima ndio unakwenda itetea??
Google helper nuclear ni dakika ardhi iliishakuwa chini juu juu chiniAmeshindwa kuipiga Ukraine kwa siku 3 itakuwa dunia ?? Ebu kula ulale
HujitambuiPutin is a coward. Hana Akili huyo Mzee mshamba.
Nani yupo tayari kumuunga mkono Russia kwenye hiyo WWIII? Kumbuka mpaka leo China na India waligoma kumuunga mkono toka mwanzo.Sioni namna yoyote huyu urusi anaenda kuyaachia hayo maeneo aliyojitangazia....naona yupo tayari hata kwa kujitoa mhanga!
Nikiiangalia ile sura ya Putin siku anasema na kuihusisha nuclear, nauona wazi ujumbe wa 'bora iteketee mbali dunia yenyewe kuliko hawa West kunipelekesha'.....alikazia mara kadhaa kwa jicho kavu kuwa 'urusi haitanii safari hii'.
Jana imeripotiwa nyambizi yenye uwezo wa kubeba nuclear ipo baharini inarandaranda....
Kwamba Nord 1 & 2 yake vihujumiwe ye akae tu na minyukilia yake ndani?!!!
Kwamba nato wamdhihaki ye akae tu na minyuklia yake?!!!
Kwamba maadui wafike kremlin, ye akae tu anawaangalia na minyuklia yake?!!!!
Kwamba mambo yamharibikie mrusi mchina akae tu asifanye lolote kwa ajili ya kujiham8 nae?!!!!
Kwamba waongezewe vikwazo hadi washindwe kupumua nchini kwao nae akae anaangalia tu na minyuklia yake?!!!!
Huyo jamaa naona yupo tayari kwa lolote sasa!!!
Nauthibitisho gani kwamba waligoma au wewe moyo wako ndio umegomaNani yupo tayari kumuunga mkono Russia kwenye hiyo WWIII? Kumbuka mpaka leo China na India waligoma kumuunga mkono toka mwanzo.
Maandamano ya kupinga ukatili wa Usa dhidi ya russia.Saiv kuna maandamano moscow
Inaonekana wewe ni muumini wa vitendo vya kishoga.Ungelijua usingelimsapoti USA maana Hana tofauti shoga muda wote anaongea ila vitendo zero
Kwanza unatafuta nini kwenye mitaa ya Ukraine, si mboreshe hali za maisha kwenye taifa lako, ili muache kuzurura kwenye mataifa ya watu.Ukrain ile ukipita mtaani mtu mweusi wanakwita kima ndio unakwenda itetea??
Unafikiri nuclear ni maandazi sio ?Sioni namna yoyote huyu urusi anaenda kuyaachia hayo maeneo aliyojitangazia....naona yupo tayari hata kwa kujitoa mhanga!
Nikiiangalia ile sura ya Putin siku anasema na kuihusisha nuclear, nauona wazi ujumbe wa 'bora iteketee mbali dunia yenyewe kuliko hawa West kunipelekesha'.....alikazia mara kadhaa kwa jicho kavu kuwa 'urusi haitanii safari hii'.
Jana imeripotiwa nyambizi yenye uwezo wa kubeba nuclear ipo baharini inarandaranda....
Kwamba Nord 1 & 2 yake vihujumiwe ye akae tu na minyukilia yake ndani?!!!
Kwamba nato wamdhihaki ye akae tu na minyuklia yake?!!!
Kwamba maadui wafike kremlin, ye akae tu anawaangalia na minyuklia yake?!!!!
Kwamba mambo yamharibikie mrusi mchina akae tu asifanye lolote kwa ajili ya kujiham8 nae?!!!!
Kwamba waongezewe vikwazo hadi washindwe kupumua nchini kwao nae akae anaangalia tu na minyuklia yake?!!!!
Huyo jamaa naona yupo tayari kwa lolote sasa!!!
Wangepinga OP yake kule UN ila wamekaa kimyaNani yupo tayari kumuunga mkono Russia kwenye hiyo WWIII? Kumbuka mpaka leo China na India waligoma kumuunga mkono toka mwanzo.
Anti mobilisationMaandamano ya kupinga ukatili wa Usa dhidi ya russia.
Ila mkuu ni ngumu sana kitu cha nuke kikiwaka eti China nae ajiingize upande wa russia..hakuna anaetaka hiyo inshu hata NATO wanajikakamua tu Ila huo mzigo wanauelewa vizuri balaa lake...hata putin mwenyewe analijua hili kuwa ni disasterNauthibitisho gani kwamba waligoma au wewe moyo wako ndio umegoma
HatujielewiUkrain ile ukipita mtaani mtu mweusi wanakwita kima ndio unakwenda itetea??