Usinzii umeshakata ghaflaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Njoo tulale Mlongo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona mwenye "forehead" nimemuona hapoView attachment 3080857
Nitafutie mwenye shepu kubwa hapo..
Nitafutie mwenye umbo namba 8 hapo...
Unamuona mweupe na mweusi hapo?
Umemuona handsome hapo?
Je unaweza kumfahamu boss na mtumwa hapo?
Umemuona mwenye PHD na darasa la 3 hapo??
Waweza kumuona mwenye 6 pack hapo?
SHORTLY
Huna uzuri wowote, huna elimu yeyote huko uendako kinachotakiwa ni kumcha Mungu na kuepukana na maovu...
Mungu atuongoze na atujaalie mwisho mwema🤲
Kuna mahali kwenye bango la kuingia makaburini palikuwa pameandikwa HATA SISI TULIKUWA KAMA NYIE.. Niliogopa sanaView attachment 3080857
Nitafutie mwenye shepu kubwa hapo..
Nitafutie mwenye umbo namba 8 hapo...
Unamuona mweupe na mweusi hapo?
Umemuona handsome hapo?
Je unaweza kumfahamu boss na mtumwa hapo?
Umemuona mwenye PHD na darasa la 3 hapo??
Waweza kumuona mwenye 6 pack hapo?
SHORTLY
Huna uzuri wowote, huna elimu yeyote huko uendako kinachotakiwa ni kumcha Mungu na kuepukana na maovu...
Mungu atuongoze na atujaalie mwisho mwema🤲
Kuna mahali kwenye bango la kuingia makaburini palikuwa pameandikwa HATA SISI TULIKUWA KAMA NYIE.. Niliogopa sanaView attachment 3080857
Nitafutie mwenye shepu kubwa hapo..
Nitafutie mwenye umbo namba 8 hapo...
Unamuona mweupe na mweusi hapo?
Umemuona handsome hapo?
Je unaweza kumfahamu boss na mtumwa hapo?
Umemuona mwenye PHD na darasa la 3 hapo??
Waweza kumuona mwenye 6 pack hapo?
SHORTLY
Huna uzuri wowote, huna elimu yeyote huko uendako kinachotakiwa ni kumcha Mungu na kuepukana na maovu...
Mungu atuongoze na atujaalie mwisho mwema🤲
Sitakiiii, naijuaa hiyooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nitakubembeleza [emoji2][emoji2][emoji2]