Tuombe mwisho mwema ndugu zangu

Tuombe mwisho mwema ndugu zangu

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
IMG-20240827-WA0067.jpg

Nitafutie mwenye shepu kubwa hapo..

Nitafutie mwenye umbo namba 8 hapo...

Unamuona mweupe na mweusi hapo?

Umemuona handsome hapo?

Je unaweza kumfahamu boss na mtumwa hapo?

Umemuona mwenye PHD na darasa la 3 hapo??
Waweza kumuona mwenye 6 pack hapo?

SHORTLY
Huna uzuri wowote, huna elimu yeyote huko uendako kinachotakiwa ni kumcha Mungu na kuepukana na maovu...

Mungu atuongoze na atujaalie mwisho mwema🤲
 
View attachment 3080857
Nitafutie mwenye shepu kubwa hapo..

Nitafutie mwenye umbo namba 8 hapo...

Unamuona mweupe na mweusi hapo?

Umemuona handsome hapo?

Je unaweza kumfahamu boss na mtumwa hapo?

Umemuona mwenye PHD na darasa la 3 hapo??
Waweza kumuona mwenye 6 pack hapo?

SHORTLY
Huna uzuri wowote, huna elimu yeyote huko uendako kinachotakiwa ni kumcha Mungu na kuepukana na maovu...

Mungu atuongoze na atujaalie mwisho mwema🤲
Mbona mwenye "forehead" nimemuona hapo
 
View attachment 3080857
Nitafutie mwenye shepu kubwa hapo..

Nitafutie mwenye umbo namba 8 hapo...

Unamuona mweupe na mweusi hapo?

Umemuona handsome hapo?

Je unaweza kumfahamu boss na mtumwa hapo?

Umemuona mwenye PHD na darasa la 3 hapo??
Waweza kumuona mwenye 6 pack hapo?

SHORTLY
Huna uzuri wowote, huna elimu yeyote huko uendako kinachotakiwa ni kumcha Mungu na kuepukana na maovu...

Mungu atuongoze na atujaalie mwisho mwema🤲
Kuna mahali kwenye bango la kuingia makaburini palikuwa pameandikwa HATA SISI TULIKUWA KAMA NYIE.. Niliogopa sana
 
View attachment 3080857
Nitafutie mwenye shepu kubwa hapo..

Nitafutie mwenye umbo namba 8 hapo...

Unamuona mweupe na mweusi hapo?

Umemuona handsome hapo?

Je unaweza kumfahamu boss na mtumwa hapo?

Umemuona mwenye PHD na darasa la 3 hapo??
Waweza kumuona mwenye 6 pack hapo?

SHORTLY
Huna uzuri wowote, huna elimu yeyote huko uendako kinachotakiwa ni kumcha Mungu na kuepukana na maovu...

Mungu atuongoze na atujaalie mwisho mwema🤲
Kuna mahali kwenye bango la kuingia makaburini palikuwa pameandikwa HATA SISI TULIKUWA KAMA NYIE.. Niliogopa sana
 
Back
Top Bottom