Kura zikipigwa Kwa wingi, na kukawa na utaratibu wa kuzilinda lazima mshindi atatangazwaMkuu unadhani sanduku la kura ndio linachagua viongozi nchi hii?
🙏🙏🙏Mungu atuvushe salama, Mimi na wewe tukutane mwakani 2025 panapo majaaliwa yake Mola wetu mtukufu.
Happy new year 2025 in-advance to you all 🥂
God bless you all 🙏🙏🙏🙏📌🔨❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤💪🏿
Kama unaweza kujisaidia mwenyewe ni vizuri pia.Mungu atusaidie nini, wakati tunao uana ni sisi kwa sisi binadamu?
Inabidi tujisaidie wenyewe.
Nakuombea usiingie kwenye hilo jaribu maana si mguu wala mkono vinaweza kukuokoa na mikono ya hawa mashetaniNi hatari Sana aisee .
Ndiyo maana Mimi kwasasa asubuhi na mapema niko mlimani kuongeza pumzi na kujaza vigimbi vya miguu .
Jioni napiga ulanzi nazama shamba kulima jembe la mkono ili afya yangu iwe fit wakijaa kwenye mfumo wangu nitajaribu kuwatembezea kipigo Ila nikiona sio kweli basi miguu iniokoe .
Kweli mkuu tuombe na tuombeane tuumalize mwaka salama na mwakani kuwe na usalama mungu akipenda,,lkn sijui kwanini hali hii imezidi kipindi hiki,je ni pamoja na hali ya uchumi kuwa mbaya!! Nini hasa tatizo?Hali inazidi kuwa mbaya siku hadi siku.. Ukimaliza siku salama na kurudi kibandani kwako unamshukuru Mungu sana!
Ukikaa mahali lazima kwanza uangalie kushoto kulia mbele nyuma na ilibidi juu chini kama kuna sura zisizo za kawaida ziko nawe sambamba!
Ukipigiwa simu na namba ngeni ni shida pia.. Unakosa amani na kujiuliza kama hiyo simu ni ya kheri
Ukiendesha gari hali ni hiyohiyo.. Ni lazima kila wakati uangalie side mirrors na driving mirror kama hufuatiliwi..
Kupotea watu kumeongezeka
Kutekwa watu ndio kabisa.. Kusikia ya kwamba yule aliyepotea kaokotwa kafa si jambo la kustua sana tena!
Mwanzoni ilichukuliwa ya kwamba wakosoaji wa mfumo ndio wahanga wakuu lakini kwasasa tusidanganyane, yeyoye, popote na muda wowote linaweza kumkuta la kumkuta!
Sasa hivi hata mambo binafsi yameingizwa kwenye huo mfumo! Kuna wengine ni wahanga wa bahati mbaya na wengine ni wahanga kwa kusingiziwa tuu
Tulichodhani mwanzoni ni kuundiwa hofu, sasa ni kitisho dhahiri.. Ni kuwindwa kama mnyama!
Tuombeane sana sana tuweze kuumaliza mwaka huu salama maana hakuna aliye salama na kesho ni mbali kuliko jioni ya leoView attachment 3178594
hakika Mungu awe WA kwanza katika kila jamboHali inazidi kuwa mbaya siku hadi siku.. Ukimaliza siku salama na kurudi kibandani kwako unamshukuru Mungu sana!
Ukikaa mahali lazima kwanza uangalie kushoto kulia mbele nyuma na ilibidi juu chini kama kuna sura zisizo za kawaida ziko nawe sambamba!
Ukipigiwa simu na namba ngeni ni shida pia.. Unakosa amani na kujiuliza kama hiyo simu ni ya kheri
Ukiendesha gari hali ni hiyohiyo.. Ni lazima kila wakati uangalie side mirrors na driving mirror kama hufuatiliwi..
Kupotea watu kumeongezeka
Kutekwa watu ndio kabisa.. Kusikia ya kwamba yule aliyepotea kaokotwa kafa si jambo la kustua sana tena!
Mwanzoni ilichukuliwa ya kwamba wakosoaji wa mfumo ndio wahanga wakuu lakini kwasasa tusidanganyane, yeyoye, popote na muda wowote linaweza kumkuta la kumkuta!
Sasa hivi hata mambo binafsi yameingizwa kwenye huo mfumo! Kuna wengine ni wahanga wa bahati mbaya na wengine ni wahanga kwa kusingiziwa tuu
Tulichodhani mwanzoni ni kuundiwa hofu, sasa ni kitisho dhahiri.. Ni kuwindwa kama mnyama!
Tuombeane sana sana tuweze kuumaliza mwaka huu salama maana hakuna aliye salama na kesho ni mbali kuliko jioni ya leoView attachment 3178594
Uroho wa madaraka na siasa za majitaka vimechangia pakubwa sanaKweli mkuu tuombe na tuombeane tuumalize mwaka salama na mwakani kuwe na usalama mungu akipenda,,lkn sijui kwanini hali hii imezidi kipindi hiki,je ni pamoja na hali ya uchumi kuwa mbaya!! Nini hasa tatizo?