2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,130
- 4,735
Unafiki soo mzuri mimi nimeshaanza kumkumbuka Magufuli. Yule mzee pesa za miradi mikubwa alikuwa anapata wapi? Hakukamua wananchi wa kawaida lakini ameacha alama kabisa. Sikumpenda lakini namkumbuka sana.
Nimenunua umeme wa 2500 nimepewa wa 500.Nyu mba sio yangu na mwenye nyumba hakai hapo.
Nimemwambia Mwenye nyumba aende TRA kutoa mita yetu akasema kama nimeichoka nyumba yake nihame au anipandishie kodi. Nimebaki njia panda. Japo tunajenga nchi yetu lakini makato yamezidi.
Nimenunua umeme wa 2500 nimepewa wa 500.Nyu mba sio yangu na mwenye nyumba hakai hapo.
Nimemwambia Mwenye nyumba aende TRA kutoa mita yetu akasema kama nimeichoka nyumba yake nihame au anipandishie kodi. Nimebaki njia panda. Japo tunajenga nchi yetu lakini makato yamezidi.