mkulima2010
Member
- Jul 8, 2015
- 39
- 40
Ndugu wakulima wenzangu tuondokane na kununua Matrekta used kwa bei kubwa.
Tuondokane na kununua Matrekta used kwa bei kubwa, utumiaji wa mafuta, gharama za spea, Pia hayo matrekta used bei zake zinakaribiana na bei ya trekta jipya.
Tuondokane na kununua Matrekta used kwa bei kubwa, utumiaji wa mafuta, gharama za spea, Pia hayo matrekta used bei zake zinakaribiana na bei ya trekta jipya.