Kuna tatizo arif?🤣Oi tuheshimiane Joan
Acha Masikhara..Ntakuja Dina..Ngoja nitafute topic kwanza..Hahahah kaboom we nasubiria sana pm yako inaonekana tamu sana
Yaan huna topic mpuuzi kweli wewe topic nyingi hivyo si watukane hata ccm au chademaAcha Masikhara..Ntakuja Dina..Ngoja nitafute topic kwanza..
Huyu kwenye photo ndo wewe[emoji2]
Teh teh..Hivi bangi uwa unavuta na nani??Yaan huna topic mpuuzi kweli wewe topic nyingi hivyo si watukane hata ccm au chadema
NFP imeendaje mkuu, naona mt4/5 hapo
Hizo sinaga shobo nazo mkuu.NFP imeendaje mkuu, naona mt4/5 hapo
Hehehehe navuta peke yanguTeh teh..Hivi bangi uwa unavuta na nani??
Umejuaje ni mzuri? Unaweza kukuta unamsifia mwanaume mwenzako shauri yako.Mtoto mzuri kama wewe huwezi shindwa ku-update kama ni hela ya bando nikutumie vocha PM kwako, jitahidi iwe updated kuna faida nyingi simu ikiwa update mrembo.
View attachment 1999141
iphone sio issues shida ni iphone ngapi na gb ngapi
Snapchat ina kazi gani?
Kwamba? Yaani ni Jambo la sifa?
Hakuna sifa yoyote mm nina iphone lakini tunajua tunavyomiss mambo mengi yalioko android phones.
Mi sina ninachomiss kwenye Android kusema ukweli kabisa.
Una utoto mwingi.
Unanifahamu mzee? Mimi nimepata kukusoma ni mtu wa aina gani kupitia muonekano wa simu yako tu. You are so childish grow up.Ni kweli mkuu ila sijakuzid wewe.