EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
-
- #121
Aaaah jamaa si umwambie aende JNCC kuna wifi na pssd anaomba na anapewa free ila wanafunzi wa IFM ndik waliharibu walikuwa wanashinda pale nje[emoji23][emoji23][emoji23]Mtoto mzuri kama wewe huwezi shindwa ku-update kama ni hela ya bando nikutumie vocha PM kwako, jitahidi iwe updated kuna faida nyingi simu ikiwa update mrembo.
View attachment 1999141
Achaga maswali ambayo majibu unayo,[emoji41][emoji41] Dina unamjua au unamsikia[emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322]
Nasubiri jibu hapa[emoji41]Haya narudi kwako wewe upo kundi gani? kati ya Me na Ke?
Hahaha Snapchat inakufanya unakuwa mzuri sna ....Ndio maana kuna dem alinitumia picha nikafreez na siku namuona live nika FREEZ tena[emoji15][emoji15][emoji15]
Aaaah jamaa si umwambie aende JNCC kuna wifi na pssd anaomba na anapewa free ila wanafunzi wa IFM ndik waliharibu walikuwa wanashinda pale nje[emoji23][emoji23][emoji23]
Account feki [emoji28][emoji28]Aaaah wapi?[emoji28][emoji28]
[emoji28][emoji28][emoji28]Mimi na sura yangu ngumu muda wa kujiwekea masikio nionekane kama mbwa ama punda nautoa wapi? Kuna mambo mengi ya kufanya aise
Ngoja aje nijirizishe...Achaga maswali ambayo majibu unayo,[emoji41][emoji41] Dina unamjua au unamsikia[emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322]
[emoji28][emoji28][emoji28]Nasubiri jibu hapa[emoji41]
Hii TRUE CALLER inaleta majina na location kweli au MAGUMASHI?,[emoji848][emoji848]Uzi interesting sana!
Huwa napenda ku'bundle apps in folders katika "App drawer" na kutumia widgets kwa Home screen" kuwa na quick access na apps nnazotumia mara kwa mara.
Launcher: Nova Launcher View attachment 1999146
[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1316][emoji1316][emoji1316]Mimi na sura yangu ngumu muda wa kujiwekea masikio nionekane kama mbwa ama punda nautoa wapi? Kuna mambo mengi ya kufanya aise
Teh teh..Basi mama..Mi ntu nzima nimeelewa..Hahaha[emoji23][emoji23][emoji23] siri yangu si kila mtu ana matumizi nayo jamani kivyake
Ntakusemea kwa maaza!! Usijisahaulishe polisi sio mbali ujue[emoji846][emoji846]Haya tuma na ya kutolea [emoji23][emoji23]
You like your Home Screen🤗I like my home page😊View attachment 1999091
Nimeweke tu incase ccm wakizima networkTeh teh..Basi mama..Mi ntu nzima nimeelewa..
[emoji849][emoji34][emoji34][emoji34][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hahahaha zinakuwa nyingi sababu nikishaiangalia kwenye Notification Center kama haina umuhimu sana siifungui
😂😂😂 kaseme tu banaNtakusemea kwa maaza!! Usijisahaulishe polisi sio mbali ujue[emoji846][emoji846]
How?[emoji2371]Hazina utofauti mkubwa ila iko hivyi WhatsApp business yenyewe imefocus sana kwenye biashara sana na purpose kubwa ni connecting businesses and customers, rather than friends and family.
Na mimi hivyohivyo..Nimeweke tu incase ccm wakizima network
[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji28][emoji28] pm ipo wazi[emoji848][emoji848]Hahaha noma
Mimi ni jinsia iliyompa Adam tunda .