Tuoneshe your phone HOME PAGE tuone your FAVORITE APPS

Tuoneshe your phone HOME PAGE tuone your FAVORITE APPS

Mtoto mzuri kama wewe huwezi shindwa ku-update kama ni hela ya bando nikutumie vocha PM kwako, jitahidi iwe updated kuna faida nyingi simu ikiwa update mrembo.

View attachment 1999141
Aaaah jamaa si umwambie aende JNCC kuna wifi na pssd anaomba na anapewa free ila wanafunzi wa IFM ndik waliharibu walikuwa wanashinda pale nje[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aaaah jamaa si umwambie aende JNCC kuna wifi na pssd anaomba na anapewa free ila wanafunzi wa IFM ndik waliharibu walikuwa wanashinda pale nje[emoji23][emoji23][emoji23]

Hapana anataka kunirushia
Nitakuthibittishia hapa [emoji23][emoji23]
 
Mimi na sura yangu ngumu muda wa kujiwekea masikio nionekane kama mbwa ama punda nautoa wapi? Kuna mambo mengi ya kufanya aise
[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1316][emoji1316][emoji1316]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hahahaha zinakuwa nyingi sababu nikishaiangalia kwenye Notification Center kama haina umuhimu sana siifungui
[emoji849][emoji34][emoji34][emoji34]
 
Hazina utofauti mkubwa ila iko hivyi WhatsApp business yenyewe imefocus sana kwenye biashara sana na purpose kubwa ni connecting businesses and customers, rather than friends and family.
How?[emoji2371]
 
Back
Top Bottom