cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji7][emoji7][emoji7] nimependa sana mommah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji7][emoji7][emoji7] nimependa sana mommah
Yaan inatakiwa ujaze taarifa za kweli au?Ni professional networking platform... Inasaidia kupata connection za kaz kirahisi as makampuni yanatangaza kazi pia kwa watu binafsi unapata kujifunza kuhusu mambo mengi kuimprove profession/career yako.
Mwenye uelewa zaid anaweza elezea...
Unaweza jiunga ni nzuri
Yeap kule ni details za ukwel ila zinazohusu elimu/kazi + picha yako pia sio mbaya.Yaan inatakiwa ujaze taarifa za kweli au?
Yaan hadi picha yako halisi? Hii app itanishinda kwakweli, yaan picha yangu niweke kule mmmhYeap kule ni details za ukwel ila zinazohusu elimu/kazi + picha yako pia sio mbaya.
Umakini pia unahitajika maana sio wote utakaokutana nao wana nia njema kule.
My wiii, kumbe una miliki kitu hichi? [emoji23][emoji23]Hiyo hapo [emoji3]View attachment 2004366
It's a professional networking platform, nothing else... So yes picha zinahusika pia but sio lazima.Yaan hadi picha yako halisi? Hii app itanishinda kwakweli, yaan picha yangu niweke kule mmmh
10 playInfinix gani hii?
Oooh km pia sio lazima, bas naweza tumia.It's a professional networking platform, nothing else... So yes picha zinahusika pia but sio lazima.
Nlijua S5 pro. Kumbe sio.Infinix gani hii?
Hicho cha homepage wii, [emoji23][emoji23]Kitu gani wii? [emoji23]
utaangaliaje mikas bila hiyooVPN hadi leo?
Sasa kule kwa akina kira nior ataingiaje bila hio kitu?VPN hadi leo?
Hivi hadi wadada wanaangalia zile mambo?Sasa kule kwa akina kira nior ataingiaje bila hio kitu?
Tena ndio wanaongozaHivi hadi wadada wanaangalia zile mambo?