Tuongee UkweliI: Kazi za Local Government (Halmashauri) ni 'local' sana!

Tuongee UkweliI: Kazi za Local Government (Halmashauri) ni 'local' sana!

Ubadirishwaji wa katiba ni muhimu Sana

Diwani awe mtu mwenye degree kuendea bila hivo tusitarajie maendeleo nchini
Katiba bila sisi wenyewe kubadilika ni kazi bure. Katiba haitzuia upigaji. Katiba haitatatuia hayo matatizo ya local gevernment being local. Katiba ni muongozo, na wanaotimiza yaliyo katika katiba ndiyo muhimu. Katiba nzuri isiyofuatwa ni sawa na kutokuwa na katiba. Mimi nakubali mabadiliko ya katiba yafanyike maana hiyo iliyopo haikidhi matakwa na matarajio ya wananchi, lakini tusijidanganye kuwa katiba bila sisi kubadilika haitaidia kitu. Sisi ndiyo tunatakiwa kufuata katiba lakini mara nyingi nchi zetu za KiAfrika, katiba ndiyo inafuata wakulu wanasema nini. Mimi naomba saana pamoja na kudai katiba mpya, elimu itumike kuwaelimisha watendaji na wanasiasa kuhusu umuhimu wa kuwajibika. Kuwajibika ndiko kutatukomboa. Kuwajibika ni pamoja na kuondoa kabisa kuijaza serkali na watu walewale. Kuwajibika ni pampja na kutambua kuwa kuna vikundi vya wakubwa ambavyo vimeajiri watu mitandaoni kuwatetea hata pale wanapofanya makosa. Leo hii siyo rahisi kuwagusa viongozi fulani bila kukutana na wateteaji ambao wako tayari kutoa mapovu, utadhani wanatetea kwa hiari kumbe wako kazini. Wewe sasa hivi mguse mtoto wa nje ya ndoa, wengine huita mtoto haramu uone utakayokutana nayo. Hebu mjaribu Nnauye uone kama utahilimili mashambuli. Hao wote wana watu wanaolipwa mitandaoni, hasa JamiiForums.
 
Jana bana ile tunakula lunch ghafla story za kui jadili ofisi yetu (Moja ya Halmashauri nchi) zikaibuka.

Aisee Kazi za Halmashauri ni local sanaa.

Ila hoja aliyoibua Rais Samia akiwa Mara, haiko mara tu.

Ipo TANZANIA NZIMA, Kila halmashauri ni kiazi kilichooza, ukitaka kuthibitisha hili KIBONYEZE UONE UVONDO UTAKAVYO TOKA.

Nakushauri Wewe ambaye unania/hamu/tamaa ya kufanya Kazi serikalini USIJE HALMASHAURI, labda uniambie kuwa "Uje kama stepping stone" ya kwenda kwengine.

Kwamba uje halmashauri upate cheki namba halafu ukafanye Kazi (kuhamia) huko kwengine.

Ila kubaki halmashauri HAPANA KWA KWELI.

1. Halmashauri hakuna competent
2. Halmashauri hakuna professionalism
3. Halmashauri mnaendeshwa na wasiosoma (baraza la madiwani)
4. Halmashauri ni kutumia ubabe tu
5. Halmashauri ulaji upo kwa Idara kadhaa wengine ni njaa tu.
6. Halmashauri ni full majungu
7. Uwe na cert, diploma, Bach, au masters ila ukiingia geti la halmashauri HAKUNA UTOFAUTI WOWOTEEEE.

Kifupi local government is real LOCAL..!!!

1. Idara ya Fedha.

Wahasibu.
Ukiwa upo humu, kila siku ni lawama.
Mara hamuwalipi watu posho zao.
Mara mnapendelea kupitisha madokezo.
Mara hamlipi vikao vya Madiwani.
Mara hamlipi mpaka mle rushwa yaani ni full LAWAMA tu

Afisa mapato.
Kuna hili janga la POS.
Usiombe likukute, utaona kweli uhasibu local government ni kisanga.

Afisa Biashara
Hii ndio Kazi ya kifal* hasaa.
Yaani mtu kasoma miaka yotee ili aje kufunga biashara za watu..!

Ukifanya hii Kazi kuna kila dalili ya kurogwa.

2. Idara ya ardhi na misitu

Afisa ardhi
Hawa wanalaumiwa na kuuza viwanja vya watu.

Afisa misitu na nyuki
Kukamata Mifugo ya watu (wavamizi wa maeneo tengefu ya hifadhi).

Hii Idara ni full kugombana na watu

3. Idara ya Utumishi.

DHRO
Ole wako ukutane na afisa Utumishi mwehu. Utajutaaa..!!!
Kazi inakua haina amani na ni mbayaaa.

RMO na Ma PS
Hawa ni kuliwa na mabosi wa halmashauri na wilaya.
Kama mkeo ni RMO au PS halmashauri basi POLEEEE

Watendaji
Awe wa mtaa/Kijiji au kata akili zao sijui ZIKOJE.
Na Wana madeni kibaooo ya POS.
Ukitaka kuona karaha yao hebu nenda ofisi zao kachukue huduma...
Dah ni kisangaaa..!!!!

Tehama
Huyu yaani alisoma vitu vikubwaa miaka kibao chuo ili kuja ku connect wire za MUSE, MFUMO WA MAPATO na KUDEAL na POS.

Yaani ma coding yotee sijui aliyasomea nini..!!!

4. Idara ya Mkaguzi wa ndani.
DIA (District Internal Auditor) huyu ni kisanga tu na bifu na wenzake.
Muda wotee ye ni kutengeneza hoja tu Tena nyengine HAZIFUNGIKI KABISAAA ila ANAZIIBUA...!!!

5. Idara ya Kilimo.
Yaani DAICO mwenyewe hata kulima halimi, na akilima ni Eka moja..!!!

Ma field officer (AFO) Kazi yao ni kushinda mjini.

Idara haina hela, Idara ya kimasikini balaaa.

6. Idara ya afya
Hii Idara ina hela, maana hela zao wao nyingi ni backet (sio own source).
Ila kama wewe ni mdada (Nesi/Dokta) upo huko mtaani (zahanati, kituo cha Afya, etc) ili Ule hizi hela basi kubali kuliwa na katibu.

Ukiwa mbishi kutoa uch* aisee utakufa masikini ukitegemea mshahara na rushwa za wagonjwa.

Ila ukitaka kula hela za wizara kama wewe ni mwanamke basi kubali kuliwa na DMO, Katibu, na wengine wa bomani..

7. Idara ya Mifugo na Uvuvi.
Idara ina njaa hasa.
Labda uwe field upate za kutibu na ziwani/baharini.

Ila ukiwa bomani ni njaa tu.

8. Idara ya engineer
Hawa eti walisoma miaka yotee mambo makubwaa ili kuja kusimamia ujenzi wa madarasa ya mil 21..!!!

Sasa zile complex fact za Shule sijui wanazitumia wapi huku halmashauri.

9. Idara ya Maendeleo
Hawa bwana ni Kazi ya kutengeneza tu deal za kula 10% za own source wakisema eti ni mikopo kwa wanawake, vijana na walemavu.

10. Idara ya elimu.
Kama wewe ni mwalimu wa kike na ukitaka kupata vijisemina na kusahihisha mitihani na kusimamia mitihani basi KUBALI KULIWA NA WATUMISHI WA IDARA BOMANI.

Ukijifanya mgumu ni kubaniwa kila kitu.

11. Idara ya Sheria
DLO (District Legal Officer) sijui hata Kazi yake ni nini halmashauri.
Bora wenye mihuri yao wanapata deal za kusimamia kesi huko nje ya Kazi.

Ila kama huna Muhuri my friend utakaa tu halmashauri kupiga soga tu.

IDARA NDANI YA HALMASHAURI ZOTEE NI MAJANGA yaani ZOTEEE.

Aisee halmashauri ni kisanga tu.

Watu hawafati professionalism kabisa.

Tena ukitaka kuona moto wajue wewe ni CHADEMA, My friend YOU WILL SUFFER IN SUFFERING CONDITION..!!!

Yaani halmashauri zotee sasa hivi ni za CCM halafu uwe CHADEMA, utakomaaa.

Sasa unajiuliza ""Kwani kuwaza tofauti ni DHAMBI?""

Njoo halmashauri, pata cheki namba then SEPAAA.
Huku sio kabisaaa.

Unakuta Diwani ni darasa la 7 kabisaa ila anakuendesha mwenye degree yako, Tena sometimes unampa ushauri kitaalamu ila anakua mbishiii...!!!!

Serikali kuu na Wizara hebu ZITAZAMENI HALMASHAURI VIZURI AISEEE.

Local government is REAL LOCAL.

#YNWA
Ndio maana inaitwa Local Government, usitegemee zijiendeshe internationally wakati wanajiita local
 
Jana bana ile tunakula lunch ghafla story za kui jadili ofisi yetu (Moja ya Halmashauri nchi) zikaibuka.

Aisee Kazi za Halmashauri ni local sanaa.

Ila hoja aliyoibua Rais Samia akiwa Mara, haiko mara tu.

Ipo TANZANIA NZIMA, Kila halmashauri ni kiazi kilichooza, ukitaka kuthibitisha hili KIBONYEZE UONE UVONDO UTAKAVYO TOKA.

Nakushauri Wewe ambaye unania/hamu/tamaa ya kufanya Kazi serikalini USIJE HALMASHAURI, labda uniambie kuwa "Uje kama stepping stone" ya kwenda kwengine.

Kwamba uje halmashauri upate cheki namba halafu ukafanye Kazi (kuhamia) huko kwengine.

Ila kubaki halmashauri HAPANA KWA KWELI.

1. Halmashauri hakuna competent
2. Halmashauri hakuna professionalism
3. Halmashauri mnaendeshwa na wasiosoma (baraza la madiwani)
4. Halmashauri ni kutumia ubabe tu
5. Halmashauri ulaji upo kwa Idara kadhaa wengine ni njaa tu.
6. Halmashauri ni full majungu
7. Uwe na cert, diploma, Bach, au masters ila ukiingia geti la halmashauri HAKUNA UTOFAUTI WOWOTEEEE.

Kifupi local government is real LOCAL..!!!

1. Idara ya Fedha.

Wahasibu.
Ukiwa upo humu, kila siku ni lawama.
Mara hamuwalipi watu posho zao.
Mara mnapendelea kupitisha madokezo.
Mara hamlipi vikao vya Madiwani.
Mara hamlipi mpaka mle rushwa yaani ni full LAWAMA tu

Afisa mapato.
Kuna hili janga la POS.
Usiombe likukute, utaona kweli uhasibu local government ni kisanga.

Afisa Biashara
Hii ndio Kazi ya kifal* hasaa.
Yaani mtu kasoma miaka yotee ili aje kufunga biashara za watu..!

Ukifanya hii Kazi kuna kila dalili ya kurogwa.

2. Idara ya ardhi na misitu

Afisa ardhi
Hawa wanalaumiwa na kuuza viwanja vya watu.

Afisa misitu na nyuki
Kukamata Mifugo ya watu (wavamizi wa maeneo tengefu ya hifadhi).

Hii Idara ni full kugombana na watu

3. Idara ya Utumishi.

DHRO
Ole wako ukutane na afisa Utumishi mwehu. Utajutaaa..!!!
Kazi inakua haina amani na ni mbayaaa.

RMO na Ma PS
Hawa ni kuliwa na mabosi wa halmashauri na wilaya.
Kama mkeo ni RMO au PS halmashauri basi POLEEEE

Watendaji
Awe wa mtaa/Kijiji au kata akili zao sijui ZIKOJE.
Na Wana madeni kibaooo ya POS.
Ukitaka kuona karaha yao hebu nenda ofisi zao kachukue huduma...
Dah ni kisangaaa..!!!!

Tehama
Huyu yaani alisoma vitu vikubwaa miaka kibao chuo ili kuja ku connect wire za MUSE, MFUMO WA MAPATO na KUDEAL na POS.

Yaani ma coding yotee sijui aliyasomea nini..!!!

4. Idara ya Mkaguzi wa ndani.
DIA (District Internal Auditor) huyu ni kisanga tu na bifu na wenzake.
Muda wotee ye ni kutengeneza hoja tu Tena nyengine HAZIFUNGIKI KABISAAA ila ANAZIIBUA...!!!

5. Idara ya Kilimo.
Yaani DAICO mwenyewe hata kulima halimi, na akilima ni Eka moja..!!!

Ma field officer (AFO) Kazi yao ni kushinda mjini.

Idara haina hela, Idara ya kimasikini balaaa.

6. Idara ya afya
Hii Idara ina hela, maana hela zao wao nyingi ni backet (sio own source).
Ila kama wewe ni mdada (Nesi/Dokta) upo huko mtaani (zahanati, kituo cha Afya, etc) ili Ule hizi hela basi kubali kuliwa na katibu.

Ukiwa mbishi kutoa uch* aisee utakufa masikini ukitegemea mshahara na rushwa za wagonjwa.

Ila ukitaka kula hela za wizara kama wewe ni mwanamke basi kubali kuliwa na DMO, Katibu, na wengine wa bomani..

7. Idara ya Mifugo na Uvuvi.
Idara ina njaa hasa.
Labda uwe field upate za kutibu na ziwani/baharini.

Ila ukiwa bomani ni njaa tu.

8. Idara ya engineer
Hawa eti walisoma miaka yotee mambo makubwaa ili kuja kusimamia ujenzi wa madarasa ya mil 21..!!!

Sasa zile complex fact za Shule sijui wanazitumia wapi huku halmashauri.

9. Idara ya Maendeleo
Hawa bwana ni Kazi ya kutengeneza tu deal za kula 10% za own source wakisema eti ni mikopo kwa wanawake, vijana na walemavu.

10. Idara ya elimu.
Kama wewe ni mwalimu wa kike na ukitaka kupata vijisemina na kusahihisha mitihani na kusimamia mitihani basi KUBALI KULIWA NA WATUMISHI WA IDARA BOMANI.

Ukijifanya mgumu ni kubaniwa kila kitu.

11. Idara ya Sheria
DLO (District Legal Officer) sijui hata Kazi yake ni nini halmashauri.
Bora wenye mihuri yao wanapata deal za kusimamia kesi huko nje ya Kazi.

Ila kama huna Muhuri my friend utakaa tu halmashauri kupiga soga tu.

IDARA NDANI YA HALMASHAURI ZOTEE NI MAJANGA yaani ZOTEEE.

Aisee halmashauri ni kisanga tu.

Watu hawafati professionalism kabisa.

Tena ukitaka kuona moto wajue wewe ni CHADEMA, My friend YOU WILL SUFFER IN SUFFERING CONDITION..!!!

Yaani halmashauri zotee sasa hivi ni za CCM halafu uwe CHADEMA, utakomaaa.

Sasa unajiuliza ""Kwani kuwaza tofauti ni DHAMBI?""

Njoo halmashauri, pata cheki namba then SEPAAA.
Huku sio kabisaaa.

Unakuta Diwani ni darasa la 7 kabisaa ila anakuendesha mwenye degree yako, Tena sometimes unampa ushauri kitaalamu ila anakua mbishiii...!!!!

Serikali kuu na Wizara hebu ZITAZAMENI HALMASHAURI VIZURI AISEEE.

Local government is REAL LOCAL.

#YNWA
Kaka upo sahihi yaani yote ni fact
 
Ndo mkajiongeze kielimu mtolewe huko...
Kuna rafiki yangu ilibidi ahamie mjini... maana huko alipipangwa bado kidogo wamchukue msukule [emoji1787] nyumba aliyopewa ndo ilikua mazalia ya scorpions


Uwe mjini
Uwe jiji
Uwe Kijiji
Local government ni local tu.

#YNWA
 
Malalamiko yapo kila sehemu Kaka hata sisi ambao tupo chini ya wizara bado tunafanyia isivyo stahili.unakuta mkuu wa kitengo na boss wanaandika majina ya watu wao kwenye madokezo kila Mara..mtu anakuwa anakazi tatu halafu wewe hata moja huna...NI kawaida tu ila halmashaur mko too local kwa kweli kuliko sisi wa serikali kuu.all in all vumilia TU mkuu Huku ukijiongeza na madeal mengine mtaani....just imagine Muhasibu anakupiga panga kwenye hela yako mambo ya ofisini tuyaache TU ofisini haina haja ya kusema mtaani au mitandaoni...bongo bahati mbaya
Natamani niwe chini ya wizara kuliko kubaki Halmashauri
 
Back
Top Bottom