[emoji3][emoji2][emoji2][emoji2] we jamaa boya kweli.. et umetafsiri kila lugha imekuja vingine [emoji3][emoji2][emoji2][emoji2]Nimeitafsiri hii Habari kwa kingereza imenipa maana tofauti, kiswahili imenipa maana nyingine, kilingala imetofautiana na hao wengine. Ngoja nijaribu Kichina nione itaniletea tafsiri gani.
Eti not yet to be named club. Hatoi mtu pesa huyu anakwenda msimbazi free. Msitake kuforce biashara vipers hawaamini kama wanapoteza mcheza bulee
itakuwa hivyo na ni faida kwa simba kwa sababu hataandikishwa na vipers CAF champions leagueSo dirisha dogo bado yupo huyu maana ni only 4 months
Huyo aliyeanzisha huu Uzi siyo Simba na Yanga aka Utopolo..huyo kupita siku bila kuitaji Simba kinyesi hakitoki.Hivi watanzania ujinga utatuisha lini?? Kila siku unakuja na nyuzi za manzoki kwani Africa nzima Simba mmekosa mchezaji? Huyu manzoki ana maajabu yapi kumzidi kagere au mpole? Kawa mfungaji Bora misimu mingap?.
Punguza mihemko na vitu vya kawaida, huyu anaweza akaja na akafloap vibaya.
We ni geniusHuyo aliyeanzisha huu Uzi siyo Simba na Yanga aka Utopolo..huyo kupita siku bila kuitaji Simba kinyesi hakitoki.
Na kweli binafsi nitashangaa kama atakataa hilo "deal la China"; kwani wachezaji wengi wa hizi nchi zetu, wanaangalia HAPA siyo PALE/KULE! Yaani wanaangalia ya sasa na wakati huo wakiburuzwa na hao mameneja wao. Mameneja wao wanataka kamisheni zao tu, BASI. Hawaangalii future ya huyo mchezaji,Haya sasa haina shida mzungu wetu keshazoeana na team plus kiyombo, phiri, boko hao ndiyo strikers wetu ndugu zangu tuzoeee tu hali halisi
Hili la manzoki limekwisha sasa hata dirisha dogo december haji ni uongo , hela anayolipwa china ni nyingi sana nitashangaa sana kama atakubali kurudi nyuma kuchukua vimshahara vidogo labda kama pale mwanzoni watu wangekubali kutoa ile usd 200k tungekuwa naye
Huku aliahidiwa usd 8000k a month alikubali shida ikawa kutoa transfer fee watu wakawa wanavizia wampate bure sasa wachina kwa miezi 6 wanampa billion 1 wakati simba miezi sita angepata millioni 100
View attachment 2333631
UPDATES:View attachment 2334218
Huyu Bsbu aende zake China, Simba siyo kituo cha kulea Wazee!Hili la manzoki lipite ili tupumue asee..kila siku manzoki manzoki aaagh!!!
maktaba wake china unaisha 31/12 dirisha dogo anakuwa huru na jina lake litakuwa halijapelekwa CAf na vipersHuyu Bsbu aende zake China, Simba siyo kituo cha kulea Wazee!