nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,602
- 20,181
Mi
Unless humjui Biggie Smalls
Motherf*cker ni neno linalotumiwa na gangsta rappers wote...
Kwa taarifa yako Biggie alikuwa sela hata pengine kuliko Pac
Nitajie wimbo mmoja wa Biggie wenye message.
Kazisikilize tena READY TO DIE na LIFE AFTER DEATH
Pia sikiliza nyiimbo za na junior mafia clique
Mimi sipo kiushabiki bali nakupa factsPAC ananyimbo zaidi ya 650+ mainstream,chache ndio zipo dedicated kama hizo ulizo mention...lakini nyingi ni lakshari na mazafaka kibao...
na mashabiki walimpenda kwa ngoma hizo za kisela...
Amini unachoamini mkuu,lakini mimi kama MAWEED Npo upande wa kulia kwa B.I.G NOTORIOUS....
Unless humjui Biggie Smalls
Motherf*cker ni neno linalotumiwa na gangsta rappers wote...
Kwa taarifa yako Biggie alikuwa sela hata pengine kuliko Pac
Nitajie wimbo mmoja wa Biggie wenye message.
Kazisikilize tena READY TO DIE na LIFE AFTER DEATH
Pia sikiliza nyiimbo za na junior mafia clique