Tupac bado yupo sana

katika vitu vya hovyo kabisa kuwahi kufanywa na wa-USA ni namna walivokatisha maisha ya huyu Mwamba!
 
Nilikuwa nasoma sehemu wanadai baada ya kupigwa risasi kuna polisi mzungu alivaa kiraia alikuwa akiendesha baiskeli akawahi kumfanyia huduma ya kwanza kumuokoa. Na kumuuliza Tupac sir are you okay? Badala yake akamtemea mate na kumuambia fakyu.

Hawa niggers sometimes siyo wakuwaonea huruma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…