Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Hii nchi usimtegemee Mwanasiasa na Pia ukiwa Mwanasiasa usimtegemee kijana mwenye njaa kwenye harakati zako..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Expectation is often the root of heartbreak. Guard your heart and be cautious about placing your complete trust in anyone.Hii nchi usimtegemee Mwanasiasa na Pia ukiwa Mwanasiasa usimtegemee kijana mwenye njaa kwenye harakati zako..
Kuna ka ukweli flaniHii nchi usimtegemee Mwanasiasa na Pia ukiwa Mwanasiasa usimtegemee kijana mwenye njaa kwenye harakati zako..
Acha kuongea porojo kijanaMimi Nina Imani kubwa sana na Rais Samia na serikali yake na ninaamini ndiye Kiongozi sahihi wa kuendelea kutuvusha Watanzania.
Vybz kartel - Mi no trust people..Expectation is often the root of heartbreak. Guard your heart and be cautious about placing your complete trust in anyone.
Naunga mkono hojaDonald trump hakukosea
Nam_nukuu "Africa inatakiwa itawaliwe tena miaka 100 kwa viboko vingi"
View attachment 3182765
Limekukuta jambo nn mwanetuHii nchi usimtegemee Mwanasiasa na Pia ukiwa Mwanasiasa usimtegemee kijana mwenye njaa kwenye harakati zako..
Angalau raisi Samia ana legacy ya kumalizia miradi iliyoachwa na mtangulizi wake, na pia anaonekana kuianzisha na kuisimamia vyema miradi aliyoianzisha yeye mwenyewe.Mimi Nina Imani kubwa sana na Rais Samia na serikali yake na ninaamini ndiye Kiongozi sahihi wa kuendelea kutuvusha Watanzania.
Ndege imeangukia Machame.Si mlituambia kuwa kamanda wa kubadili gia angani atatuvusha, vipi tena wakuu?
SIASA ya Tanzania ni ajira inayogombaniwa sana hata kwa kuroganaHii nchi usimtegemee Mwanasiasa na Pia ukiwa Mwanasiasa usimtegemee kijana mwenye njaa kwenye harakati zako..