Tupate somo fupi kuhusu sheria ya FIFA namba 11

Tupate somo fupi kuhusu sheria ya FIFA namba 11

changaule

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2020
Posts
6,039
Reaction score
10,151
Hii ni somo fupi iliyoambata na mifano halisi juu ya sheria namba 11 (kuhusu offside).
Ni moja ya sheria inayowapa shida watu wengi sana kuitafsiri. Mfano kwenye mechi ya Yanga vs Mwadui kuna watu wanasema ile ni offside na wengine wanasema ni goli halali. Ukipitia hii video itakupa mwanga mkubwa sana juu ya sheria hii
 

Attachments

  • Offside_Rule_Explained_(in_3_minutes)(240p).mp4
    4.9 MB
Hii ni somo fupi iliyoambata na mifano halisi juu ya sheria namba 11 (kuhusu offside).
Ni moja ya sheria inayowapa shida watu wengi sana kuitafsiri. Mfano kwenye mechi ya Yanga vs Mwadui kuna watu wanasema ile ni offside na wengine wanasema ni goli halali. Ukipitia hii video itakupa mwanga mkubwa sana juu ya sheria hii
Video ipi?
 
Hii ni somo fupi iliyoambata na mifano halisi juu ya sheria namba 11 (kuhusu offside).
Ni moja ya sheria inayowapa shida watu wengi sana kuitafsiri. Mfano kwenye mechi ya Yanga vs Mwadui kuna watu wanasema ile ni offside na wengine wanasema ni goli halali. Ukipitia hii video itakupa mwanga mkubwa sana juu ya sheria hii
iko vzr. naipataje hii? nataka niipakue ili niwe nayo kwenye simu.
 
iko vzr. naipataje hii? nataka niipakue ili niwe nayo kwenye simu.
Unaweza kwenda youtube andika title kama nilivyoandika itakuja hiyo clip. Yaani andika OFFSIDE RULE EXPLAINED in 3 minutes
 
Back
Top Bottom