Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

Nimesoma shule Moja na director MAJAG

Shule tulikuwa tunamuita hivyo hivyo majagi.

Neno majagi ilitoka na Yale madishi ya Chakula na uji sisi pale tulikuwa tunayaita MAJAG.
Wapi hapo mkuu 😂😂
 
Back
Top Bottom