Brother Jof
Senior Member
- Nov 5, 2018
- 114
- 153
Usije ukauza shamba langu aiseeeNjoo uchukue pwani miono kwa bei hiyo
Ndio mkuu kuna vijiji mkuranga ndanindani huko kuna mashamba nasikia yanauzwa mpama 100k kwa ekari moja, sina idea ni kijiji gani nilisikia kwa watu sehem ambapo sikupata mda wa kuwadadisi1,000,000 heka 10 pwani?
Miono iko wilaya gani mkuu?, usafiri upoje kufika huko na je bei zimekaaje kwa hekari moja?Njoo uchukue pwani miono kwa bei hiyo
Mkuu nishawah kusikia sehem hii ndio maana nikaja hapa nipate wadau wenye connectionMillion 1 heka kumi? Labda tufunge na kuomba sana,tena tuombe maombi ya kichawi wamiliki wapate shida kubwa, wawe na uhitaji mkubwa sana wa hela kisha maninja tutokee na milioni moja moja zetu tuwakomalie watukatie heka kumi kumi.
Bongo nyoso aiseee....
CC:-
Mfalme Fadhageti
Thanks mkuu. Hivi Gwata au Vikumburu viko wilaya gani na ninafikaje huko? Kutoka DarNenda Gwata au Vikumburu unaweza kubahatisha mkuu
Hahaha umesomekaangalizo, tusiingizane mjini jamani.
Miono iko wilaya ya chalinze,bei laki mbili mpaka laki,usafiri toka mbezi mwisho au tegeta nyuki moja kwa mojaMiono iko wilaya gani mkuu?, usafiri upoje kufika huko na je bei zimekaaje kwa hekari moja?
La kwako liko vile vileUsije ukauza shamba langu aiseee
Naomba nikuchek dm kupata maelezo ya ziada kidogo mkuuMiono iko wilaya ya chalinze,bei laki mbili mpaka laki,usafiri toka mbezi mwisho au tegeta nyuki moja kwa moja
Sawa mkuuNaomba nikuchek dm kupata maelezo ya ziada kidogo mkuu
Miono heka kumi kwa milioni moja?Njoo uchukue pwani miono kwa bei hiyo
Labda miono ndani ndani hukooo lakini pale karibu Sasa kwa hiyo bei itamlazimu afunge na kuomba na kuwapiga upofu na dhiki wamiliki wauze Bei aitakayo.Miono iko wilaya ya chalinze,bei laki mbili mpaka laki,usafiri toka mbezi mwisho au tegeta nyuki moja kwa moja
Labda miono ndani ndani hukooo lakini pale karibu Sasa kwa hiyo bei itamlazimu afunge na kuomba na kuwapiga upofu na dhiki wamiliki wauze Bei aitakayo.
Kule mbele ya miono maeneo ya Mandamazingara kwenyewe kumeshapanda vile barabara ya east Afrika yapita ndani ndani kama unaenda tanga
Miono heka kumi kwa milioni moja?
Upande upi wa miono?