kizaytor
Member
- Nov 7, 2018
- 63
- 83
Kwa bajeti ya M10 hadi 15, kiwanja chenye ukubwa wa robo heka kigamboni, nitapata kigamboni ipi ?
Kwa ushauri mzuri, unatakiwa kwenda kigamboni then chukua wale boda katika vile vituo mbalimbali then waulize kuhusu kutafuta mashamba. Kwa staili hii utafanikiwa but kwa kupitia madalali huwez kupata hata plot kwa kigamboni..