Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Tuufanye watu 20 kila mmoja awe na milioni moja tuotee eneo ambalo tutagawana kila mtu ekari 10,tuanzishe mashamba ya kisetla nyumba inakaa katikati ya shamba, tunafuga ngombe mbuzi kilimo safi kabisa! Tunakuwa na culture zetu, kila mtu anaoa wake 3 sheria ya kwanza 😂😂