Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Wakuu mwasonga Nako panasemajeeeee mwemye uzoef
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam,Huko ndo kwetu saaaasa. Mkamba kizapara, mbulani mpka kibudi.
Hapana. HawqsumbuiNaam,
Ni kuzuri, ng``ombe wa wasukuma hawasumbui ??
Kuna viwanja huko? Watu wanauana kwa hatua 5Watu wa viwanja Arusha na Dodoma mko wapi?
Nauza Kiwanja kipo Makongo Juu CCM,Jirani sana na shule ya makongo, ukubwa ni SQM 300, kina hati, kina msingi wa ghorofa, maji yamepia hapo hapo,nguzo ya umeme ipo hapo hapo, eneo linafaa sana kujenga appartment za kupangisha au nyumba ya kuishi kwa wale wasiopenda eneo kubwa.....Bei nauza 17.5M.
Ukiwa interested PM nikakuoneshe kilipo tufanye muamala
Ndio nina hati, hata sasa unapata tuSqm 300 unapata hati?
Tanga Kwa sehemu gani nduguMimi ninalo lipo Mkoa wa Tanga nje kidogo ya jiji , eneo makorola kama upo tayari nitafute.
Hiyo si handeni ...?Kama ukitoka Dar, Kabuku ni baada ya Mkata. Nauli toka Mkata hadi Kabuku kwa basi ni 2k. Shamba linapakana na Chuo Cha Biblia cha TAG. Toka Barabara ya Lami hadi Shamba Boda ni 1k.
Kaka mwenyewe Nina shamba. Langu bagamoyo tunaweza shauliana..!!Nilinunua kimanz chana eka tano laki tatu
Alafu kule kama unaelekea lindi ilikia heka elf 36 tu (mapori) kwenye kusafisha unajikuta umenunua heka laki mbil
Lakin hii njia imenikalia kushoto nimewahi lima maramoja tu
Saivi napambana na bagamoyo kiwangwa ila huku ekar lak nane kwenda mbele.
Naomba uelekeo kaka kibindu IPO mkoa na wilaya Gani maana natolea ArushaMashamba chalinze nenda kijiji cha kibindu mashamba yapo mengi na ardhi ina rutuba. Nilifanikiwa kupata heka 20 kwa bei chee tu. Kwasasa nafanya kilimo na ufugaji.
Jinsi ya kufika kama upo Dar nenda mbezi stand ya Daladala kuna magari yanaenda Kibindu nauli ni 12,000 tu
Naomba mawasiliano Yako boss inbox unielekeze.Mimi nina connection ya kibindu nimetoka kule last week bei bado sio kubwa sana, shamba pori unaweza pata 80,000-100,000 kwa heka. Ila shamba clean unaweza pata 150,000-200,000 kwa heka. Angalizo uwe makini usije uziwa mashamba yetu.
Pwani umasikin umezid1,000,000 heka 10 pwani?
Nauza ekari 30 Kwa 800,000 Kila Moja ziko Sumbawanga mjiniHello wanajukwaa,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Naomba tupeane connection za maeneo ambayo kuna viwanja au mashamba makubwa kwa bei nafuu kwaajili ya uwekezaji au ujenzi.
Mimi binafsi niko Dar, natamani sana kupata eneo au shamba lenye rutuba nzuri angalau ekari 10 pembezoni mwa jiji au katika mkoa wa Pwani kwa gharama ya wastani wa milioni moja (1,000,000Tsh) ili nikajichimbie huko nilime na kufuga. Maeneo ninayopendelea ni kama Kisarawe, Chanika (ndanindani huko), Bagamoyo, Wilaya ya Kibaya, Mkuranga n.k.
Asanteni
Hiyo Bei sijui pwani ipiPwani umasikin umezid
Nipe connection ndugu yangu au hata kama unamfahamu mtu anayeuza niunganishe naye nije kuwekeza hukoMimi nina connection ya kibindu nimetoka kule last week bei bado sio kubwa sana, shamba pori unaweza pata 80,000-100,000 kwa heka. Ila shamba clean unaweza pata 150,000-200,000 kwa heka. Angalizo uwe makini usije uziwa mashamba yetu.
Sumbawanga mjini sehemu gani?Nauza ekari 30 Kwa 800,000 Kila Moja ziko Sumbawanga mjini
Mkuu maeneo gani hayo na mimi nilikuwa nahitajiWe pwani kwa hela ya nyanya hiyo huwezi ,, cha kukushauri njoo Lindi ubebe ekari mia kwa iyo hela