Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JF bana,Kuna sehem naijua nikiisema watu watavamia na bei zitapanda Sana. ILa IPO Tanga wilaya ya Pangani
25×150,000 = 3,750,000/-Nina heka 25 Kibiti, Kilometers 21 from Kibiti Mjini. Nauza kila heka 150,000/-. Hazijawahi kulimwa hivyo ni Pori.
Ndio. Hekta ina kipimo cha mita 100x100 (10000 m2). Eka (ekari) ina kipimo cha mita 70x70 (4900 m2)Ila wakuu kuna hector na acre si ndiyo?
Lakini unafurahia walizotaja wenzio!Kuna sehem naijua nikiisema watu watavamia na bei zitapanda Sana. ILa IPO Tanga wilaya ya Pangani
Hekta sina uhakika ila Eka sio kweli, UMEDANGANYA.Ndio. Hekta ina kipimo cha mita 100x100 (10000 m2). Eka (ekari) ina kipimo cha mita 70x70 (4900 m2)
mkuu mzima, Mungu mwema, kitambo mkuu.Hekta sina uhakika ila Eka sio kweli, UMEDANGANYA.
Eka ina Sqm 4046.86. Ambazo ni kama mita 63.61 kila upande kama shamba liko Square
Kwema boss,mkuu mzima, Mungu mwema, kitambo mkuu.
Nyave inakuja kuwa special zone mkuu, baada ya ile barabara yetu, wahuni wengine nao wamepasua njia nyingine na sio muda tutafika Taweta, kama 18 km ndo zimebakia tutoboe Taweta. Kuna wenye nguvu wamekuja kule ni balaa mkuu.Kwema boss,
Nyave sasa kumechangamka eee?
Aisee,Nyave inakuja kuwa special zone mkuu, baada ya ile barabara yetu, wahuni wengine nao wamepasua njia nyingine na sio muda tutafika Taweta, kama 18 km ndo zimebakia tutoboe Taweta. Kuna wenye nguvu wamekuja kule ni balaa mkuu.
Miono hekari ni 200k, asilipe zaidi ya hiyo....Njoo uchukue pwani miono kwa bei hiyo
kule mashamba ya wenyeji yameisha, yaliyopo ni ya wale walioishiwa pumzi njiani.Aisee,
Hongera sana Mkuu. Naona karibu utaimaliza Kibena, Lupembe na Ukalawa
Nina eneo pale kitongoji cha Mchokozeni/Msata kando ya eneo la IFM block, tatizo la eneo lile ni ukame kiasi, ila zuri sana kwa ufugaji. Eneo langu limefikiwa na bomba la maji ya bomba. naweza mkatia mtu eka kumi kama ana cash. Eneo hili ni potential kwa siku za mbele wakijajenga kile chuo pale.Share experience yako kwa hapo miono mkuu. Tunaweza kujifunza na sisi pia tusiopajua
Mkamba ni kuzuri kwa kilimo, mvua mara mbili kwa mwaka, ukitaka kwenda huko, pitia Mkuranga, ukifika Mkiu unaingia kulia, ndani ndani huko. Changamoto ni manpower, kwa kilimo ndo kwenyewe.Kunafikikaje huko?mashamba bei gani?
#MaendeleoHayanaChama
njoo nikukatie eka moja kwa 5m, iko barabarani, bomba la maji lipo na inapakana na shule ya msingiKwa bajeti ya M10 hadi 15, kiwanja chenye ukubwa wa robo heka kigamboni, nitapata kigamboni ipi ?
Wapi hapo boss?njoo nikukatie eka moja kwa 5m, iko barabarani, bomba la maji lipo na inapakana na shule ya msingi
Bei gan unauza?Nina eneo pale kitongoji cha Mchokozeni/Msata kando ya eneo la IFM block, tatizo la eneo lile ni ukame kiasi, ila zuri sana kwa ufugaji. Eneo langu limefikiwa na bomba la maji ya bomba. naweza mkatia mtu eka kumi kama ana cash. Eneo hili ni potential kwa siku za mbele wakijajenga kile chuo pale.