Tsh 2m kwa eka.Bei gan unauza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tsh 2m kwa eka.Bei gan unauza?
Bagamoyo ni balaa sana, kuna Nafco, kuna RAZABA na kuna National park ya Sadaan, na kuna Ranch, na kuna mafisadi waliojitwalia mipori pia.kwenye kununua eneo umakini unatakiwa sana kuna sehemu bagamoyo bei ndogo lakini eneo ni la serkali japo watu wanaishi
Me nna shamba langu liko kwasunga ....Miono hekari ni 200k, asilipe zaidi ya hiyo....
Watamuibia mazao yake wanafunzi [emoji23]njoo nikukatie eka moja kwa 5m, iko barabarani, bomba la maji lipo na inapakana na shule ya msingi
Wapi huko mkuu?njoo nikukatie eka moja kwa 5m, iko barabarani, bomba la maji lipo na inapakana na shule ya msingi
samahani nilisahau kueleza location, hiki kipande kipo kijiji cha Marogoro, Mkuranga. Ukitaka kwenda huko unapitia Vikindu, Vianzi, Mfuru Mwambao kisha marogoro. Unaweza pitia Kisarawe II, Dsm zoo, Mwasonga mpaka hapo.Wapi huko mkuu?
Makurunge hiyokwenye kununua eneo umakini unatakiwa sana kuna sehemu bagamoyo bei ndogo lakini eneo ni la serkali japo watu wanaishi
Ndio mpk kidomole relini pale sio poa.Makurunge hiyo
Aisee umenikumbusha Shungubweni we Mzee. Wale Mbuzi bado wapo eee?samahani nilisahau kueleza location, hiki kipande kipo kijiji cha Marogoro, Mkuranga. Ukitaka kwenda huko unapitia Vikindu, Vianzi, Mfuru Mwambao kisha marogoro. Unaweza pitia Kisarawe II, Dsm zoo, Mwasonga mpaka hapo.
wapo wa mbegu mkuu, wengi niliuza. mungu mwema, mwakani naweza kurudisha ule ufugaji.Aisee umenikumbusha Shungubweni we Mzee. Wale Mbuzi bado wapo eee?
We pwani kwa hela ya nyanya hiyo huwezi ,, cha kukushauri njoo Lindi ubebe ekari mia kwa iyo helaHello wanajukwaa,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Naomba tupeane connection za maeneo ambayo kuna viwanja au mashamba makubwa kwa bei nafuu kwaajili ya uwekezaji au ujenzi.
Mimi binafsi niko Dar, natamani sana kupata eneo au shamba lenye rutuba nzuri angalau ekari 10 pembezoni mwa jiji au katika mkoa wa Pwani kwa gharama ya wastani wa milioni moja (1,000,000Tsh) ili nikajichimbie huko nilime na kufuga. Maeneo ninayopendelea ni kama Kisarawe, Chanika (ndanindani huko), Bagamoyo, Wilaya ya Kibaya, Mkuranga n.k.
Asanteni
Nakuja mkuu inboxWe pwani kwa hela ya nyanya hiyo huwezi ,, cha kukushauri njoo Lindi ubebe ekari mia kwa iyo hela
Namba ya simu yakoNauza shamba langu lipo mkoa wa pwani wilaya ya chalinze kijiji cha Kibindu lina ukubwa wa heka 20 pia lina banda la kufugia mifugo.
Jirani kuna uchimbaji wa madini pia
Price: 6M
We pwani kwa hela ya nyanya hiyo huwezi ,, cha kukushauri njoo Lindi ubebe ekari mia kwa iyo hela
Namba ya simu yako
NjooNakuja mkuu inbox
Huko ndo kwetu saaaasa. Mkamba kizapara, mbulani mpka kibudi.Mkamba ni kuzuri kwa kilimo, mvua mara mbili kwa mwaka, ukitaka kwenda huko, pitia Mkuranga, ukifika Mkiu unaingia kulia, ndani ndani huko. Changamoto ni manpower, kwa kilimo ndo kwenyewe.