Tupeane experience ya ajira yako uliipata mwaka gani na uliipata vipi?

Tupeane experience ya ajira yako uliipata mwaka gani na uliipata vipi?

The_Poxs

Member
Joined
Jul 20, 2015
Posts
51
Reaction score
79
Kutokana na tatizo la ajira limekuwa kubwa sana nimeamua kuja na uzi huu kama kuwapa moyo vijana wanaohangaika huku na kule katika kutafuta ajira na kukutana na disappointments nyingi sana mpaka kupelekea kukata tamaa kabisa juu ya soko la ajira la Tanzania.

[emoji1428] Nilipigiwa simu ilikuwa ni mwaka 2017 majira ya mchana iv kwenye mida ya saa nane saa saba katika kipindi nimekata tamaa kabisa kwa kuomba kazi sehem mbali mbali na kufanya interviews nyingi bila mafanyikio.

Simu hiyo ilikuwa ikiverify jina langu na kuniambia jtatu uje na vyeti vyako halisi sehem furani ambayo ulishaombaga kazi siku furani uje uanze kazi sikuamini coz hata hela ya nauli tuu kwenda huko hiyo jtatu sikuwa nayo nashikuru mungu ilikuwa ni kweli na mpaka leo ndo nafanya hapo kazi na nalipwa vizuri tuu kukidhi mahitaj yangu yote muhimu[emoji3526]

Note:
Ukiona unateseka sana kupata kazi jua mda wako sahihi haujafika utapata tuu, we endelea kupambana kwa nguvu zote[emoji120]
 
Eeeee Mungu wabariki wasomi wetu wageuze Elimu zao kujiajiri na kumsaidia jamii kwa mapana yake wawekewe mifumo mizuri ya ukopaji ili ujinga wa kuajiri uwatoke na wawe wenye tija kwenye jamii Aamina

Amin
 
Eeeee Mungu wabariki wasomi wetu wageuze Elimu zao kujiajiri na kusaidia jamii kwa mapana yake wawekewe mifumo mizuri ya ukopaji ili ujinga wa kuajiriwa uwatoke na wawe wenye tija kwenye jamii Aamina
Amen!
 
Sisi tulikubaliana JamiiForums wote wana ajira na wote matajiri na wote wanatoka familia bora!!

Sasa hiki kilio cha nini wadau?!
 
Nimekaa sana bila ajira wala mchongo nikaona niingie Jamii forums kidogo nicheki ramani ndio nakutana na hii issue daaah.. Lakini tusikate tamaa tuendelee kupambana tu..
 
Back
Top Bottom