Yaani hadi usukumani ushazurura!! Uko vizuri.Ua moja lilishatoa tunda kitambo mkuu.
Tena liko huko maeneo yako unako noa vichwa vyao
Unavyonifeel kinoma sasaπ
Usukumani tena? Mbona kichwa panzi? Fungua codesYaani hadi usukumani ushazurura!! Uko vizuri.
Kuna mkoa kweli umebakiza hii nchiπππππ
Hahaha nyie siwawezi
Nyoooo!Unavyonifeel kinoma sasaπ
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Usukumani tena? Mbona kichwa panzi? Fungua codes
Hahaha sijui huwa unaniota mara ngapi kwa sikuπNyoooo!
Kumbe mwenzetu huwa unaota mchana!! Kumbe ndio maanaπ€£π€£π€£Hahaha sijui huwa unaniota mara ngapi kwa sikuπ
Braza brazaa!!Hahaha sijui huwa unaniota mara ngapi kwa sikuπ
Bro aliomba nimpigie story kabla hujarudiπBraza brazaa!!
NdiwooooAjeeee huku migombani pia tumfurahishe na mbege π
Bado tunamtafutaAlipatikana
Kwanini wasiraπππNaomba nikupe ukweli mchungu.
kuna gharama kubwa kupendwa na mwanaume mwema au mke mwema.
Kumbuka huo wema wanauona wenzio nao wanatamani kupata kitu chema.
Vumilia ndg yangu.
Vinginevyo tafuta Wasira wa peke yakoπ€£π€£π
Huyu anatafuta watoto wa nje Kwa wamasai wamemaliza Sasa yupo huko halafu amenipiga mkwara nikikusaidia tu atanichemaYaani hadi usukumani ushazurura!! Uko vizuri.
Kuna mkoa kweli umebakiza hii nchiπππππ
π€£π€£π€£π€£π€£Huyu anatafuta watoto wa nje Kwa wamasai wamemaliza Sasa yupo huko halafu amenipiga mkwara nikikusaidia tu atanichema
Xmass wapi??Bado tunamtafuta
Sorry ni wewe au ?π€£π€£π€£π€£Siutaki huo ujumbe, baki naoπ€£π€£π€£π€£