Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Yaani hadi usukumani ushazurura!! Uko vizuri.Ua moja lilishatoa tunda kitambo mkuu.
Tena liko huko maeneo yako unako noa vichwa vyao
Kuna mkoa kweli umebakiza hii nchi🙆🙆🙆🙆🙆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani hadi usukumani ushazurura!! Uko vizuri.Ua moja lilishatoa tunda kitambo mkuu.
Tena liko huko maeneo yako unako noa vichwa vyao
Unavyonifeel kinoma sasa😂
Usukumani tena? Mbona kichwa panzi? Fungua codesYaani hadi usukumani ushazurura!! Uko vizuri.
Kuna mkoa kweli umebakiza hii nchi🙆🙆🙆🙆🙆
Hahaha nyie siwawezi
Nyoooo!Unavyonifeel kinoma sasa😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Usukumani tena? Mbona kichwa panzi? Fungua codes
Hahaha sijui huwa unaniota mara ngapi kwa siku😅Nyoooo!
Kumbe mwenzetu huwa unaota mchana!! Kumbe ndio maana🤣🤣🤣Hahaha sijui huwa unaniota mara ngapi kwa siku😅
Braza brazaa!!Hahaha sijui huwa unaniota mara ngapi kwa siku😅
Bro aliomba nimpigie story kabla hujarudi😅Braza brazaa!!
NdiwooooAjeeee huku migombani pia tumfurahishe na mbege 💃
Bado tunamtafutaAlipatikana
Kwanini wasira😂😂😂Naomba nikupe ukweli mchungu.
kuna gharama kubwa kupendwa na mwanaume mwema au mke mwema.
Kumbuka huo wema wanauona wenzio nao wanatamani kupata kitu chema.
Vumilia ndg yangu.
Vinginevyo tafuta Wasira wa peke yako🤣🤣😍
Huyu anatafuta watoto wa nje Kwa wamasai wamemaliza Sasa yupo huko halafu amenipiga mkwara nikikusaidia tu atanichemaYaani hadi usukumani ushazurura!! Uko vizuri.
Kuna mkoa kweli umebakiza hii nchi🙆🙆🙆🙆🙆
🤣🤣🤣🤣🤣Huyu anatafuta watoto wa nje Kwa wamasai wamemaliza Sasa yupo huko halafu amenipiga mkwara nikikusaidia tu atanichema
Xmass wapi??Bado tunamtafuta
Sorry ni wewe au ?🤣🤣🤣🤣Siutaki huo ujumbe, baki nao🤣🤣🤣🤣