Nmefanikiwa vitu vingi sana mkuu, kuna maumbo kwenye mathematics ntakutumia unisaidie namna ya kuchora na kufix no, say duara lenye pembetatu ndani yake yenye angle eg 55, 90, 35.Mkuu angalia mwanzoni Kuna sehemu nimejibu vizuri kabisa na picha nimeweka
Ntajaribu kutengeneza video kabisa hakikisha unapitia Kwenye Group piaNmefanikiwa vitu vingi sana mkuu, kuna maumbo kwenye mathematics ntakutumia unisaidie namna ya kuchora na kufix no, say duara lenye pembetatu ndani yake yenye angle eg 55, 90, 35.
Mkuu naomba unisaidie hapo kwa kutumia HLOOKUP ili niju mwanafuzi aliyepat Account 94 geography kapata ngapi?Karibu mkuu...Tuendelee kujifunza
Tuma hapa mkuu utufaidishe wengi PM haitoleta maana ya huu uzi kama ulivouanzishaPoa unaweza tuma hapa au PM
Nimeiona.. One more question
Unataka ikuletee jumla ya mfano 1/2 +1/3= 2/5?
au 1/2+1/3=5/6?
Naomba kujua nawezaje kupanga division kwa matokea masomo ya secondary. Maana nikiandaa matokeo. division huwa napiga moja moja manually.Asante mkuu... Nipo vizuri pia.. Wasipokuja ntaanza mimi
Big upWadau,
Kujua Excel Spreadsheets ni muhimu sana...
Tunaweza tukashirikishana tricks mbalimbali katika Excel hapa ili tujifunze wote..
Unaweza pandishwa CHEO au Kupata kazi kirahisi Kwa kujua EXCEL vizuri.. Watanzania wengi udhaifu wao upo hapo.. So Unaifanya WEAKNESS hiyo kuwa Strength kwako.Kwenye Ofisi yeyote mtu ambaye haogopi excel huwa anaonekana ni kichwa sana.. unaweza pia ukamvutia bosi wako kama utaijua kumshinda yeye na atakufanya rafiki yako ili usimuumbue...
Kwenye Interview ndio utawamaliza kabisa ..ukikutana na viherehere wakakuchokoza hapo ndio unawaonesha ujuzi wako wote... wengi huwa hawaijui kwasababu ya uvivu... Kwa hiyo usiogope..Niliwahi ulizwa swali na panelist kwenye Interview nikaenda deep mpaka akaogopa maana kuna vitu alikuwa havijui na yeye akaamua apotezee hilo swali akarukia kitu kingine kukwepa aibu..
Weka Trick yako hapo chini ili wengine wafaidi au kama unaswali uliza nitakujibu mimi au wadau wengine...
Ingependeza sana pale unapokwama uulize swali hapa.. Ili tujadiliane vitu ambavyo ni useful katika mazingira yetu ya shule au kazini...
Dunia ya sasa sio lazima uende darasani.. Unaweza tumia muda wako na MB zako vizuri mtandaoni na ukaongeza Ujuzi polepole
**Kama unatafuta kazi na umeandika Kwenye CV kwamba una ujuzi na Excel fuatilia huu uzi na group uwe updated na vitu mbalimbali ili usije umbuka siku ukiwa unafanya written au Oral Interview
** Nitakuwa naelezea Common questions ambazo waajiri hupenda kuuliza kukupima uelewa wako katika Spreadsheets.. Ni Muda na MB zako tu.. Sihitaji kingine...
Please NOTE
** Usiulize kitu unachokijua kupima watu Bali andika trick unayoijua ili wengine wafaidi na kama unaswali ULIZA wataalam tutakusaidia
PS:
Kama upo Telegram unaweza Ingia Kwenye Public Channel ipo hapo chini Kwa vitu ambavyo haviwezekani kuelezewa hapa vizuri..Kama video na files. Ni public channel ya kusoma na Sio sehemu ya chatting!
gonga hapo >>>> Excel/SpreadsheetsTZ
Naomba kuwasilisha!
Ethos
Nimekuelewa mkuu... kuna njia mbili ngoja kwa leo nianze na rahisi halafu hiyo complex kidogo nitaielezea separately katika video zangu za kila siku...
safi sana mkuu..naipenda juhudi yakoDaah hakika ushukuriwe mkuu ulianzisha huu uzi hatimaye nimeweza kuitumia VLOOKUP kwa kutafuta grades View attachment 439524
HLOOKUP Nitazielezea... Endelea kufuatilia tu mkuu... Kuna mtiririko flan naufwata KwasasaMkuu naomba unisaidie hapo kwa kutumia HLOOKUP ili niju mwanafuzi aliyepat Account 94 geography kapata ngapi?
Na je mwanafunzi mwenye jina lab Dough kapata history ngapi? na je aliye na jina linalo anza na J kapta geog ngapi? shukrani mkuuView attachment 439457
Nimekuelewa mkuu... kuna njia mbili ngoja kwa leo nianze na rahisi halafu hiyo complex kidogo nitaielezea separately katika video zangu za kila siku...
hapo tuseme mfano 255/78 ipo katika Cell C3 inabidi uunde column nyingine mpya mbili na zipe majina ya denominator na numerator halafu kwenye Numerator column andika =LEFT(C3,3) Ikiwa na maana ikuchukulie namba tatu kutoka kushoto mwa C3 ambayo ni 255 na kupata Denominator andika =RIGHT(C3,2) ikiwa na maana ikuchukulie namba 2 kutoka kulia mwa C3 halafu uta drag kama namba zinazofuata chini zipo katika mfumo huo huo yaani digit3/digit2 kama zitabadilika rekebisha function yako respectively na endelea hadi mwisho...
Mwishoni tafuta jumla ya Denominator na numerator kama kawaida kwa kutumia =SUM(Range)
Angalizo>>> kuwa makini wakati wa ku drag kama kuna change ya format ya namba ya chini
kwa leo niishie hapo... let me know if you tried this kabla sijaja na the more complex one
simple pics below
Ubarikiwe sana kaka nitajaribu kesho nitakupa feedback pia nitafurah pia nikiona hiyo video kuleNimekuelewa mkuu... kuna njia mbili ngoja kwa leo nianze na rahisi halafu hiyo complex kidogo nitaielezea separately katika video zangu za kila siku...
hapo tuseme mfano 255/78 ipo katika Cell C3 inabidi uunde column nyingine mpya mbili na zipe majina ya denominator na numerator halafu kwenye Numerator column andika =LEFT(C3,3) Ikiwa na maana ikuchukulie namba tatu kutoka kushoto mwa C3 ambayo ni 255 na kupata Denominator andika =RIGHT(C3,2) ikiwa na maana ikuchukulie namba 2 kutoka kulia mwa C3 halafu uta drag kama namba zinazofuata chini zipo katika mfumo huo huo yaani digit3/digit2 kama zitabadilika rekebisha function yako respectively na endelea hadi mwisho...
Mwishoni tafuta jumla ya Denominator na numerator kama kawaida kwa kutumia =SUM(Range)
Angalizo>>> kuwa makini wakati wa ku drag kama kuna change ya format ya namba ya chini
kwa leo niishie hapo... let me know if you tried this kabla sijaja na the more complex one
simple pics below
Kwa upande wangu mkuu nimeona ni iko fasta than if mkuu na nimeielewa vizur sana tofauti na if huwa inanigomeaga wakati mwingine napo itumia mkuu.vipi kuna ubaya katika hili mkuu?safi sana mkuu..naipenda juhudi yako
Ni swali kidogo hapo... Kwanini umeamua kutumia VLOOKUP na Sio IF Function?