Ok, unajua uzi ni mrefu kuna mengine sijayapitia ... lipo lilishindikana kujibiwa?Safi sana... Karibu tulisongeshe
Hujui unachokifanya, stop fooling people, haiwezekani. unachotakiwa kufanya ni kuweka apostrophe then numbers.
Ok, unajua uzi ni mrefu kuna mengine sijayapitia ... lipo lilishindikana kujibiwa?
Umesoma statistics hadi level gani ili nijue nakueleweshajeSamahani mkuu hii z-score.naomba.unifafanulie.ina maana gani na inatumikaje yaan ukishapata value yake unaitumia sehemu gani kama hutojari naomba unielekeze inatumikaje kwenye huo field ya ualimu mkuu lengo nipanue uelewa wangu.ahsanteh
Umesoma statistics hadi level gani ili nijue nakueleweshaje
Me mwnywe napata taabu mno, mtakuwa mmesaidia tukipeana utaalamu hapa.
Gonga hiyo linkLink hii hapa...
Excel/SpreadsheetsTZ
Kumbuka ni chanel ya telegram ambayo haina usumbufu wa chatting... Only two to three posts a day... Thread imekuwa ndefu so kule unaweza Pata mtiririko wote kiurahsi sana...
Sijaelewa nipe linkGonga link hapo juu
Karibu
Good start. NimekusomaNi wazo zuri... Nimeiweka hivo ili kuepusha usumbufu mkuu na ili ukitaka kufuatilia vitu vyote upate kirahisi...
Ndio maana sijaifungua group la whatsup...