Tupeane maujanja ya Excel

Nmefanikiwa Ila sasa nakuwa nakolamu mbili za majina, nikfuta ya mwanzo na column ya pili inafutika. Haiwezekani kubadili hapo hapo kwenye original column?
 
Yes ni kazi nzuri na hapo inaonesha umeielewa VLOOKUP kisawasawa!! Congrats!!

Ila changamoto ipo hapa.. Je kama mtu kupata D ni aliye na marks kuanzia 0-30 na wapo zaidi ya kumi Kwenye list?
Me pia naipenda hii ni rahisi, labda kama ina changamoto tuambie.
 
Wakuu nilikuwa nimebanwa kidogo na Majukumu kiasi kwamba JF nilikuwa nachungulia tu na kutoka


Kuanzia kesho tunaendelea na uzi wetu huu wa kibabe..


Karibuni Kwa Maswali
 
Ebana bonge la somo shukran kwa mtoa mada japo nimechelewa kuikuta lakini nitafuatilia mdogo mdogo
 
Wakuu nilikuwa nimebanwa kidogo na Majukumu kiasi kwamba JF nilikuwa nachungulia tu na kutoka


Kuanzia kesho tunaendelea na uzi wetu huu wa kibabe..


Karibuni Kwa Maswali
mkuu vipi mbona kimya
 
Njoo upate hayo maujanja ofisini kwetu The Computer Skills (ComSkills), Makumbusho Business Complex, 2nd Floor kuanzia saa 2 asub mpka 2 usiku. You will not be disappointed. Call 0717718519
mie napenda sana ni bei gani Uko
 
Jinsi ya kutumia Excel imeandikwa kwenye Excel programme yenyewe yaani kuna user manual pale kwenye Help. Na kwenye Help kuna mifano kabisa yenye diagrams hivyo wewe ni kucheza na mfano ukileta majibu sahihi unapiga kazi unayotakiwa kufanya.
 
Nmefanikiwa Ila sasa nakuwa nakolamu mbili za majina, nikfuta ya mwanzo na column ya pili inafutika. Haiwezekani kubadili hapo hapo kwenye original column?
Ukimaliza kubadili una coppy ile uloibadili then una paste special na kwenye dialog chagua value then ok
 
Wataalam naomba msaada kwa anaefahamu VBA ya xls, ni siku nyingi nafanya kazi na xls sheet naifahamu kiasi fulani ila inapokuja issue ya developing program through xls nashindwa hata kutengeneza form ama kiprogram kidogo cha kuwasaidia end user wengine. Msaada tafadhali kwa wanaojua kupiga code za VBA xls
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…