Nmefanikiwa Ila sasa nakuwa nakolamu mbili za majina, nikfuta ya mwanzo na column ya pili inafutika. Haiwezekani kubadili hapo hapo kwenye original column?Asante Kwa Swali lako mkuu... Hii itasaidia wengi
Katika Excel Kuna functions zifuatazo
Ukiandika =UPPER(A1) Maneno yaliyopo katika A1 kama yapo katika small letters yatakuwa Capital letters
Ukiandika =LOWER(A1) kama yako katika capital letters yatakuwa small letters
Ukiandika =PROPER(A1) yataanza na Herufi kubwa tu
Hebu fanya na utupe feedback
Me pia naipenda hii ni rahisi, labda kama ina changamoto tuambie.Yes ni kazi nzuri na hapo inaonesha umeielewa VLOOKUP kisawasawa!! Congrats!!
Ila changamoto ipo hapa.. Je kama mtu kupata D ni aliye na marks kuanzia 0-30 na wapo zaidi ya kumi Kwenye list?
Mkuu naomba unisaidie kuchora maumbo ya kwenye maths. Eg duara, nkJarib pia kucheki hii hapa nilijaribu nadhani ni hiyo hiyo kwa namna flan click hapa
Ebana bonge la somo shukran kwa mtoa mada japo nimechelewa kuikuta lakini nitafuatilia mdogo mdogoWadau,
Kujua Excel Spreadsheets ni muhimu sana...
Tunaweza tukashirikishana tricks mbalimbali katika Excel hapa ili tujifunze wote..
Unaweza pandishwa CHEO au Kupata kazi kirahisi Kwa kujua EXCEL vizuri.. Watanzania wengi udhaifu wao upo hapo.. So Unaifanya WEAKNESS hiyo kuwa Strength kwako.Kwenye Ofisi yeyote mtu ambaye haogopi excel huwa anaonekana ni kichwa sana.. unaweza pia ukamvutia bosi wako kama utaijua kumshinda yeye na atakufanya rafiki yako ili usimuumbue...
Kwenye Interview ndio utawamaliza kabisa ..ukikutana na viherehere wakakuchokoza hapo ndio unawaonesha ujuzi wako wote... wengi huwa hawaijui kwasababu ya uvivu... Kwa hiyo usiogope..Niliwahi ulizwa swali na panelist kwenye Interview nikaenda deep mpaka akaogopa maana kuna vitu alikuwa havijui na yeye akaamua apotezee hilo swali akarukia kitu kingine kukwepa aibu..
Weka Trick yako hapo chini ili wengine wafaidi au kama unaswali uliza nitakujibu mimi au wadau wengine...
Ingependeza sana pale unapokwama uulize swali hapa.. Ili tujadiliane vitu ambavyo ni useful katika mazingira yetu ya shule au kazini...
Dunia ya sasa sio lazima uende darasani.. Unaweza tumia muda wako na MB zako vizuri mtandaoni na ukaongeza Ujuzi polepole
**Kama unatafuta kazi na umeandika Kwenye CV kwamba una ujuzi na Excel fuatilia huu uzi na group uwe updated na vitu mbalimbali ili usije umbuka siku ukiwa unafanya written au Oral Interview
** Nitakuwa naelezea Common questions ambazo waajiri hupenda kuuliza kukupima uelewa wako katika Spreadsheets.. Ni Muda na MB zako tu.. Sihitaji kingine...
Please NOTE
** Usiulize kitu unachokijua kupima watu Bali andika trick unayoijua ili wengine wafaidi na kama unaswali ULIZA wataalam tutakusaidia
PS:
Kama upo Telegram unaweza Ingia Kwenye Public Channel ipo hapo chini Kwa vitu ambavyo haviwezekani kuelezewa hapa vizuri..Kama video na files. Ni public channel ya kusoma na Sio sehemu ya chatting!
gonga hapo >>>> Excel/SpreadsheetsTZ
Naomba kuwasilisha!
Ethos
mkuu vipi mbona kimyaWakuu nilikuwa nimebanwa kidogo na Majukumu kiasi kwamba JF nilikuwa nachungulia tu na kutoka
Kuanzia kesho tunaendelea na uzi wetu huu wa kibabe..
Karibuni Kwa Maswali
mie napenda sana ni bei gani UkoNjoo upate hayo maujanja ofisini kwetu The Computer Skills (ComSkills), Makumbusho Business Complex, 2nd Floor kuanzia saa 2 asub mpka 2 usiku. You will not be disappointed. Call 0717718519
mie napenda sana ni bei gani Uko
Tumia hayo mawasiliano au tembelea comskills.co.tz au njoo mahali husikamie napenda sana ni bei gani Uko
Uko wapi[emoji35] [emoji35] [emoji35]Mwenye swali lolote kuhusu VLOOKUP anakaribishwa kabla sijaizungmzia HLOOKUP hapo kesho
Sasa hivi naenda kupakua telegram nielekeze nakupatajee[emoji134] [emoji134] [emoji134]Mwenye swali lolote kuhusu VLOOKUP anakaribishwa kabla sijaizungmzia HLOOKUP hapo kesho
Ukimaliza kubadili una coppy ile uloibadili then una paste special na kwenye dialog chagua value then okNmefanikiwa Ila sasa nakuwa nakolamu mbili za majina, nikfuta ya mwanzo na column ya pili inafutika. Haiwezekani kubadili hapo hapo kwenye original column?
Asante sanaNataka watu wote wafaidi hapa... Ndio maana nimeanzisha uzi... Mnaweza mkatoa hints hapa ili tujue umahiri wenu..
Binafsi nataka kuanza kufundisha hapa bure kabisa