pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,248
- 3,663
D5 kwenye formula haiposwali la pili fanya hivi
Ziite data za sheet zoote unazotaka kuzipanga zikae kwenye sheet moja kisha uzipange kawaida
Mfano kama unataka data ya sheet2 mfano G10 ikae kwenye sheet1 utaandika =(Sheet2!G10)
Ukimaliza kuziita zirank kwa formula hii
=RANK(G9,G9:G19,0) ambapo D5 ni data ambayo unataka kuipanga, G9:G19 ni range ya data zako na 0 order ya kuzipanga
Sent using Jamii Forums mobile app
TIP OF THE DAY :
Tumia Google Sheet Kwenye simu yako sio lazima. Uwe na Computer
Ingia play store andika Google Sheets halafu pakua..
Anza kufuatilia vitu vidogo vidogo wadau wanavyouliza hapa hata kama ukiwa safarini au kijiweni unapiga story..
Waswahili wanasema haba na haba hujaza kibaba...
Ukisha ipakue Kuna templates ambazo zimeshatengenezwa unaweza ukacheza nazo kupata maujuzi pia..
Kuna ya Calendar, Attendance Kwa walimu na hata Financial Statements Kwa wahasibu
Nitazielezea huko mbeleni
Enjoy!
hii hamjaijibu wataalamu...Mkuu mi nataka kutengeza page ya excel ntayoweka total number ya items...na kila nikitoa item moja mfano ziko jumla 20 basi nikitoa moja ibaki 19 automatically...nikitoa ingine zibaki 18 ivo ivo mpaka ziishe. Na zikiisha inipe alert kwamba zimeisha au zinakaribia kuisha!!! Nipe mwongozo hapo
Nilikosea mkuu, sio D5. Hapo weka jina LA cell unayotaka kuirankD5 kwenye formula haipo
Je inawezekana ku rank wa kwanza (I. e mwenye umri mkubwa) hadi wa mwisho automatically bila ku sort ?
Procedure ni zile zile kama unavyofanya vlookup kwenye same sheet,tofauti ni kwamba kwenye reference utaweka reference ya sheet uliyoweka data zako eg sheet 2.Sheet 1ina columns moja yenye registration number, sheet 2 ina columns nne zenye registration number kama za sheet 1, na other attributes .eg age, name, address,salary.
Sasa nataka nizi return hizo columns toka sheet 2 kuja sheet one ,at once.
Kwa kutumia vlookup nafanyaje.
Sorry auto correction ya keyboard inasumbua,nimekosea formula ni hiiMkuu nakaupongeza sana kwa kuanzisha kundi hili,nimekuwa natafuta kinda la namna hii kwa muda mrefu.kinatia excel kwa kiasi Fulani katika kazi zangu.Nina kiu ya kijifunza kutenzeneza matokeo ya wanafunzi wangu kwa mtundo wa NECTA.Nina weza kubadili Maksi tarakimu kuwa Hereford (grade).vitu vinavyo nishinda na Naomba mnifundishe ni namna ya kuwa piga penalt wanafunzi wanaofeli masomo ya msingi.na kuweka absent kwa Yule ambaye hakufanya mtihani.asente
Picha pia inagoma,upload failedMkuu nakaupongeza sana kwa kuanzisha kundi hili,nimekuwa natafuta kinda la namna hii kwa muda mrefu.kinatia excel kwa kiasi Fulani katika kazi zangu.Nina kiu ya kijifunza kutenzeneza matokeo ya wanafunzi wangu kwa mtundo wa NECTA.Nina weza kubadili Maksi tarakimu kuwa Hereford (grade).vitu vinavyo nishinda na Naomba mnifundishe ni namna ya kuwa piga penalt wanafunzi wanaofeli masomo ya msingi.na kuweka absent kwa Yule ambaye hakufanya mtihani.asente
Unaweza kutumia function ya modeNawezaje kujua figure flan imejirudia kwnye column moja? Msaada tafadhali
Hiyo ni LOGICAL function, ina return true/false. Kama data zinafanana itaandika true vinginevyo itaandika falseMkuu nimejaribu inaniandika False basi. Yaani Hizi data siyo kwamba ziendana kwa Row, hapana zipo shagalabaghala. Unaweza kutu data iliyo kwenye Colomn A Rowa ya 3 ikafanana na iliyo kwenye Colomn B Row ya 1.
Ahsante.
Kama unataka ilete value nyingine tofauti na hiyo true/false, attach IF function (exact iwe ndani ya if) mfano unataka data zikifanana iandike correct ,zikitofautiana iandike incorrecr utaandikaMkuu nimejaribu inaniandika False basi. Yaani Hizi data siyo kwamba ziendana kwa Row, hapana zipo shagalabaghala. Unaweza kutu data iliyo kwenye Colomn A Rowa ya 3 ikafanana na iliyo kwenye Colomn B Row ya 1.
Ahsante.
Kucalculate age ya mtu tumia age Datedif au year frac.Let say inaanzia hapo 662, nimechukua =C1-C662 ikanipa jibu, nikaendelea C1-C663 Ikanipa jibu ninapo hilight na kudrop down inanipa majibu ambayo siyo tena kuanzia 1k inakua na negativeView attachment 440675
Kama utatumia yearfrac itabidi uweke na function ya INT kwa sababu year frac huwa inaleta no. of years na decimal. Int inasaidia kuondoa decimal (simply INT ni integer)Kucalculate age ya mtu tumia age Datedif au year frac.
Syntax yake ni =DATEDIF(start date, end date,"y")
Unaweza ukaweka function ya =TODAY() kwenye end date na hapo kwenye start date utakua unajaza birth date, herufi ya "y" itakuletea years, ukiweka "m" itakuletea months na ukiweka "d" itakuletea no of days btn two dates.
Simply Datedif ni kifupisho cha datedifference
Sent using Jamii Forums mobile app
Me mnisaidie namna ya kutumia au kukokotoa Math & trig katika worksheet excel
Excel inacalculate tan,sin or cos of an angle in radian. Kama mtu anataka apate jibu la sin30° inatakiwa aandike =SIN(PI()*B2/180)Kwenye Sheet yako juu nenda nenda Kwenye Cell yeyote alafu andika
=COS60 then enter itakuletea jibu
=TAN60 then Enter
=TANH70 then enter
=SIN 60 then enter
Simply, Anza na Alama ya sawasawa na andika Trig function unayoijua itatokea na chagua ukibonyeza enter inakupa jibu...
Hakikisha umechagua vizuri ili usije ukawa umeandika Maneno tu
Muhimu ujue function na formulas hayo mengine ni ishu za cell border lines na color tuNahtaji kujifunza kutengeneza sheet kama hizi mkuu tupe darasaView attachment 438945
Mkuu kwa mara nyingine naomba mwongozo wa jinsi kurekebisha alama za watahiniwa katika somo la JIOGRAFIA I mean z-score kwa kutumia ms exel
Swali la kizushi, kuandika word docs huwa inatumika MS Word japo unaweza pia ukatumia excel lakini haileti maana, ni sawa na mtu anayetumia punda kusafiria wakati gari analoJAMANI, NAOMBENI KWA ANAEJUA, ANISAIDIE NAMNA YA KUANDIKA BARUA KWA KUTUMIA EXCEL......... NI SWALI NIMEULIZWA JAMANI KWENYE USAILI.