Blue Bahari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,851
- 2,171
Lakini naona kama amount zako zimeanza na desimali (.) na Kisha mkato (,).Bahati mbaya mkuu nimeshatoka ofisini....
Hapo itabidi ubadili/replace kwanza mkato iwekwe nukta Kwa Kila amount. Ndipo utakuja kubadili/replace nukta/desimali (.) Kwa kuweka mkato (,).