Tupeane mbinu za kuishi na mwanamke mgomvi kwenye ndoa

Tupeane mbinu za kuishi na mwanamke mgomvi kwenye ndoa

sirluta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
6,325
Reaction score
2,491
Habari wanajamii,

Ni muda mrefu sijaingia humu sababu ya pilikapilika zilizokuwepo pamoja na kuwepo kwa magroup ya whatsupp kumepunguza concentration ya kuchangia mada humu.

Naomba tupeane mbinu za kuishi na mwanamke mgomvi kwenye ndoa ambae kila wakati anakuwa mtu wa ku complain kwamba ananyanyaswa ila ukamwambia akueleze unamnyanyasa na kitu gani hana jibu, ukijaribu kuangalia ama kujiuliza unamnyanyasa na nini huoni.

Kuna wanawake ambao hawaridhiki hivyo kila unachomfanyia anaona humtoshelezi. Akitaka kila siku wiki nzima mle nyama mtakula ila bado atalalamika sili vizuri.

Kama una tv ndani, labda anataka yeye aangalie chanel zake tu kwakuwa labda ana interest na movies, atashinda asubuhi hadi jioni na tv, ila wewe ukitaka uangalie taarifa ya habari ya saa 2 usiku ya dakika 20, atasema huo ni udikteta na unambagua.

Hazipiti siku 2 bila kupigiana simu na mama yake, ila baba mkwe atakaa hata mwaka hajamjulia hali. Ukimwonya kitu anasema huo ni uonevu, sipendi kukoromewa nitaenda kwetu.

Mwanamke kama huyu ambaye hawazi positively hata siku moja bali kuwaza negatively kila wakati na anakuwa mpinzani kwa kila kitu katika ndoa ni njia gani nzuri ya kuishi nae maana wengine tuna mioyo ya ubushoke ila siyo kwa kupenda bali kutokana na heshima mtu unakuwa nayo sasa ukiwaza kuchukua maamuzi magumu, jamii itakuangalia tofauti.

Najua huku kuna washauri wazuri na waliobobea bila kuwasahau wafurahishaji, wapondaji na watukanaji.

Nawasilisha.
 
Pole kwa hizo changamoto Mjukuu wangu.
Binafsi, naona njia ya kuishi na mtu mgomvi ni kumuelewa na kuikubalia hali na tabia aliyonayo. Unahitaji pia kuwa mvumilivu na kuongeza ukaribu wako na yeye kujua chanzo au asili ya yeye kuwa mgomvi. Isije kuwa kauli zake na matendo yake kwa kiasi yanachangiwa na tabia yako mwenyewe.

Lakini kama umejipima mwenyewe na kwa kupitia ndugu, jamaa na marafiki na kujithibitisha kuwa wewe uko safi na tatizo ni hulka yake ya ugomvi, na kama tabia hii imeendelea kukuletea stress kila siku, kwa kweli siioni sababu yoyote ya msingi ya kuendelea kuishi katika hali ya dhiki, stress na ugomvi kila siku kwa kisingizio cha ndoa.

Nyumba inatakiwa kuwa sehema ya furaha, amani na upendo na si uwanja wa malumbano. Lakini kama ugomvi umezidi na hakuna dalili ya kuisha, naona ni bora ujiongezee na kufanya maamuzi magumu kuliko kuishi na kuteseka kwenye familia yako mwenyewe kwa maisha yako yote yaliyobaki. Binafsi (na haya ni mawazo yangu) haiingia akilini kuendelea kuishi maisha ya mateso pasipo sababu ya msingi. Its either tutatue tatizo liishe au kila mtu atafute ustaarabu wake.

Kumbuka tu mjukuu we only live once!

Pole mjukuu,

Babuyo, HP.
 
Hahahahaaa mwanamke mkorofi ni bora kuliko yule muongeaji kama kijana sauti cha wauza sumu ya panya, utasikia dawa ya mende panya sisimizi kiroboto inajirudia kuanzia asubuhi hadi jioni. Hivo kwanza una heri kuwa mkeo si wale waongeaji tangu kuna kucha anaongea hadi mchana hadi saa ya kulala usiku yeye ni kuongea tuu. Ukisema utoke hadi unatoka getini yeye anaongea tena kwa nguvu na ukirudi hata saa 4 usiku utakuta anaendelea kuongea.
Dawa yao wote hawa ni kuwapa kichapo cha mbwa kuna ko 6*6. Hakikisha unamkoleza kisawasawa hata akuheshimu na kukupigia salute kila akikuona.
Sio umfanye kama unapekecha moto kwa kijiti na gogo lash.
Mlainishe mouse kila mahali hakikisha yuko hoi bin taaban hana hata nguvu ya kifurukuta kisha panda ufanye yako. Lazima heshima irudi ukiona umefanya yote hayo na bado yuko vilevile ujue amechoka na amezoea upole wako na unyenyekevu wako. Badili ka na uwe mkali na mbabe kwake ataiacha hayo.
Polee.
 
Pole kwa hizo changamoto Mjukuu wangu.
Binafsi, naona njia ya kuishi na mtu mgomvi ni kumuelewa na kuikubalia hali na tabia aliyonayo. Unahitaji pia kuwa mvumilivu na kuongeza ukaribu wako na yeye kujua chanzo au asili ya yeye kuwa mgomvi. Isije kuwa kauli zake na matendo yake kwa kiasi yanachangiwa na tabia yako mwenyewe.

Lakini kama umejipima mwenyewe na kwa kupitia ndugu, jamaa na marafiki na kujithibitisha kuwa wewe uko safi na tatizo ni hulka yake ya ugomvi, na kama tabia hii imeendelea kukuletea stress kila siku, kwa kweli siioni sababu yoyote ya msingi ya kuendelea kuishi katika hali ya dhiki, stress na ugomvi kila siku kwa kisingizio cha ndoa.

Nyumba inatakiwa kuwa sehema ya furaha, amani na upendo na si uwanja wa malumbano. Lakini kama ugomvi umezidi na hakuna dalili ya kuisha, naona ni bora ujiongezee na kufanya maamuzi magumu kuliko kuishi na kuteseka kwenye familia yako mwenyewe kwa maisha yako yote yaliyobaki. Binafsi (na haya ni mawazo yangu) haiingia akilini kuendelea kuishi maisha ya mateso pasipo sababu ya msingi. Its either tutatue tatizo liishe au kila mtu atafute ustaarabu wake.

Kumbuka tu mjukuu we only live once!

Pole mjukuu,

Babuyo, HP.

asante babu HP umenipa somo tosha la kushirikisha mtu wa tatu.
 
Hahahahaaa mwanamke mkorofi ni bora kuliko yule muongeaji kama kijana sauti cha wauza sumu ya panya, utasikia dawa ya mende panya sisimizi kiroboto inajirudia kuanzia asubuhi hadi jioni. Hivo kwanza una heri kuwa mkeo si wale waongeaji tangu kuna kucha anaongea hadi mchana hadi saa ya kulala usiku yeye ni kuongea tuu. Ukisema utoke hadi unatoka getini yeye anaongea tena kwa nguvu na ukirudi hata saa 4 usiku utakuta anaendelea kuongea.
Dawa yao wote hawa ni kuwapa kichapo cha mbwa kuna ko 6*6. Hakikisha unamkoleza kisawasawa hata akuheshimu na kukupigia salute kila akikuona.
Sio umfanye kama unapekecha moto kwa kijiti na gogo lash.
Mlainishe mouse kila mahali hakikisha yuko hoi bin taaban hana hata nguvu ya kifurukuta kisha panda ufanye yako. Lazima heshima irudi ukiona umefanya yote hayo na bado yuko vilevile ujue amechoka na amezoea upole wako na unyenyekevu wako. Badili ka na uwe mkali na mbabe kwake ataiacha hayo.
Polee.

mkuu una makuu na wewe, ila nimekupata barabara
 
biblia inasema nibora ukaishi peke yako nyikani au kuishi darini kwenye nyumba yako kuliko kuishi na mwanamke mgonvi

ndo hiyo hiyo inasema ndoa itatenganishwa na kifo.
 
Habari wanajamii,

Ni muda mrefu sijaingia humu sababu ya pilikapilika zilizokuwepo pamoja na kuwepo kwa magroup ya whatsupp kumepunguza concentration ya kuchangia mada humu.

Naomba tupeane mbinu za kuishi na mwanamke mgomvi kwenye ndoa ambae kila wakati anakuwa mtu wa ku complain kwamba ananyanyaswa ila ukamwambia akueleze unamnyanyasa na kitu gani hana jibu, ukijaribu kuangalia ama kujiuliza unamnyanyasa na nini huoni.

Kuna wanawake ambao hawaridhiki hivyo kila unachomfanyia anaona humtoshelezi. Akitaka kila siku wiki nzima mle nyama mtakula ila bado atalalamika sili vizuri.

Kama una tv ndani, labda anataka yeye aangalie chanel zake tu kwakuwa labda ana interest na movies, atashinda asubuhi hadi jioni na tv, ila wewe ukitaka uangalie taarifa ya habari ya saa 2 usiku ya dakika 20, atasema huo ni udikteta na unambagua.

Hazipiti siku 2 bila kupigiana simu na mama yake, ila baba mkwe atakaa hata mwaka hajamjulia hali. Ukimwonya kitu anasema huo ni uonevu, sipendi kukoromewa nitaenda kwetu.

Mwanamke kama huyu ambaye hawazi positively hata siku moja bali kuwaza negatively kila wakati na anakuwa mpinzani kwa kila kitu katika ndoa ni njia gani nzuri ya kuishi nae maana wengine tuna mioyo ya ubushoke ila siyo kwa kupenda bali kutokana na heshima mtu unakuwa nayo sasa ukiwaza kuchukua maamuzi magumu, jamii itakuangalia tofauti.

Najua huku kuna washauri wazuri na waliobobea bila kuwasahau wafurahishaji, wapondaji na watukanaji.

Nawasilisha.

Pole majanga kama haya yana source flani hivi Katia mahusiano kuna namna tatu moja kupendanana na kila mtu utakuta namna ya kuwa pamoja, pili kijana kampenda binti na hivyo kumshawishi sana ili wawe pamoja, tatu binti sasa katika hiyo ya pili na tatu mmoja lazima awe mtumwa wa mwezake inahitaji neno uvumilivu ndio maana kuna kitisho naenda kwetu
 
Pole majanga kama haya yana source flani hivi Katia mahusiano kuna namna tatu moja kupendanana na kila mtu utakuta namna ya kuwa pamoja, pili kijana kampenda binti na hivyo kumshawishi sana ili wawe pamoja, tatu binti sasa katika hiyo ya pili na tatu mmoja lazima awe mtumwa wa mwezake inahitaji neno uvumilivu ndio maana kuna kitisho naenda kwetu

hapa mamamkwe anahusika maana ni binti wa pekee na midume kila mmoja yupo kivyake hivyo anammis mis ovyo huku ameshamwozesha
 
Uvumilivu ndio mpango mzima kuna watu walidekeshwa home so Uvumilivu
 
Back
Top Bottom