sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,325
- 2,491
- Thread starter
- #21
Kwasababu ya dini ndo asitimuliwe!?au kumtafutia kimada mwingine?
dini hairuhusu kabisa aisee halafu anasema akiondoka kukimshinda atakuja kuomba msamaha, hivyo hata ukitimua kuna kurudi. Kikubwa labda kutimuliwa mbele ya mashahidi.