Tupeane mbinu za kuishi na mwanamke mgomvi kwenye ndoa

Tupeane mbinu za kuishi na mwanamke mgomvi kwenye ndoa

nadhani kosa hapa ni kuoana na mtu ambaye interest zenu haziendani but anyway ndo ishatokea tayari. cha kukusaidia hapa ni jitahidi weekend hii au ijayo mtoe out sehemu nzuri,ale anachopenda halafu huku mkiwa mnakula mwambie kwa upendo kabisa ni namna gani ungependa abadilike na aache kuwa mgomvi.Nadhani kwa mwanamke mwenye akili hapa lazima abadilike
 
Kuwa mgomvi zaidi yake.

Kuna kipimo kinaitwa Ugomvimeter. Mpime hapo then zidisha maradufu.
 
Kweli nimeamini, kila mtu anapewa kutokana na uwezo wake wa kustahamili mambo. Katika vitu vinanikera ni kuishi na mtu wa aina hiyo, utatamani kuhama nyumba coz hakuna amani. Yaani kuangalia tu TV iwe nongwa, au kulalama tu ovyo kwa kila utendalo..mmmh...
..I thank God for giving me such a humble woman...! Hanaga ujinga wa kitoto kitoto...

hii safi sana.Glory be to Almighty God. Muendelee vyema
 
mlie mkuyati alafu umfanye mapenzi siku nzima alafu uone kama ana tatizo lingine , labda kiu ya penzi alafu anashindwa tu kusema ,,
 
Cha ajabu wanaume wenye wanawake visokolokwinyo namna hiyo wanakuaga na upendo nao hawafurukuti he he he ila wenye wake wenye nidhamu na vyeti vya nidhamu kabatini wanaruka ruka kama popcorn pole sana....solution kubwa ni kuget busy na mambo mengine as long as ushamjua tabia yake usimpe attention kiivo huu ni nusu ya ushauri nusu nyingine nakupm

Hahahahaha, umenichekesha sana
 
Mbona dawa yao ndogo tu. Tengeneza kifaa kinachofanana na mwiko kifiche mahali.

Akianza kulalama ww usimjibu kuwa kimya tu, kama anandelea kuongea ww nenda sehem ulipouficha ule mwiko. Uchukue taratiibu halafu msogelee huku ukiwa umeuficha. Akiwa anaendelea kulalama utoe huo mwiko mtandike nao huko kwenye kimdomo chake hasa mashavuni zibua kama mara tatu huku ukiwa kimya bila kuongea kitu. Utamwona baada ya wiki harudii. Haina hata ya kurumbana na wanawake wa aina hyo hao n kipigo tu

Utakua na asili ya kina Muraaa wewe
 
Pole Sana Mkuu Unahitaji Hekima Na Busara Ya Ziada Kuishi Na huyo Mtu maadam umemuelewa Alivyo

Pia jaribu Muwe mnahudhuria Kwenye Semina Za wanandoa may be zinaweza mbadilisha
 

Attachments

  • 1447513820737.jpg
    1447513820737.jpg
    19.7 KB · Views: 338
dini hairuhusu kabisa aisee halafu anasema akiondoka kukimshinda atakuja kuomba msamaha, hivyo hata ukitimua kuna kurudi. Kikubwa labda kutimuliwa mbele ya mashahidi.

Unampenda na anajua ndo maana anaku-control, simama kama mwanaume i.e. kama unaangalia TV-taarifa ya habari akisema anataka kuangalia filamu n.k mwambie naangalia taarifa ya habari(short n clear) akianza kulalama mwambie afunge mdomo aache ubinafsi.

Akisema anaenda kwao mwambie aende(nakuhakikishia hataenda, na akienda hatakaa!!! )

Mungu alipotuambia tuishi nao kwa akili alikuwa na maana kubwa sana ambayo bahati mbaya wengi wetu hatuijui.
 
Unampenda na anajua ndo maana anaku-control, simama kama mwanaume i.e. kama unaangalia TV-taarifa ya habari akisema anataka kuangalia filamu n.k mwambie naangalia taarifa ya habari(short n clear) akianza kulalama mwambie afunge mdomo aache ubinafsi.

Akisema anaenda kwao mwambie aende(nakuhakikishia hataenda, na akienda hatakaa!!! )

Mungu alipotuambia tuishi nao kwa akili alikuwa na maana kubwa sana ambayo bahati mbaya wengi wetu hatuijui.

hahahaha nikifanya hivyo analia usiku mzima, nikimwuliza unalia nini hasemi
 
Pole Sana Mkuu Unahitaji Hekima Na Busara Ya Ziada Kuishi Na huyo Mtu maadam umemuelewa Alivyo

Pia jaribu Muwe mnahudhuria Kwenye Semina Za wanandoa may be zinaweza mbadilisha

semina ndo hana habari nazo kabisa labda nimwanzishie dozi ya neno la Mungu kwakuwa ana hofu ya Mungu. Hapo ni kitabu gani mkuu umepiga picha?
 
Mbona dawa yao ndogo tu. Tengeneza kifaa kinachofanana na mwiko kifiche mahali.

Akianza kulalama ww usimjibu kuwa kimya tu, kama anandelea kuongea ww nenda sehem ulipouficha ule mwiko. Uchukue taratiibu halafu msogelee huku ukiwa umeuficha. Akiwa anaendelea kulalama utoe huo mwiko mtandike nao huko kwenye kimdomo chake hasa mashavuni zibua kama mara tatu huku ukiwa kimya bila kuongea kitu. Utamwona baada ya wiki harudii. Haina hata ya kurumbana na wanawake wa aina hyo hao n kipigo tu

Huuh ushauri kiboko aisee amwandalie kimwiko hahaaaa amchape kiruuuuu umesahau kuwa upele humwota asiye na kucha. Huyu mkewe kamweka kwenye kipochi manyoya hafurukuti
 
Fanya juhudi za kubadilika kwanza wewe mwenyewe kabla hujafikiria kumbadilisha mtu.
 
Kama hana shughuli za kufanya;mtatafutie kazi ili awe bize
 
Back
Top Bottom