Tupeane mbinu za kujikinga na wezi kariakoo. Nimechomolewa wallet ina elfu 80/-

Hahaaa
 
Kikubwa kutembea haraka kwa kujiamini kila mara unachk walet sio kwa kujisachi ila kwa kujipiga na mkono ukiwa unatembea, hlf jitahidi kugeuza shingo kila inapobidi hata kam kun mtu anakufukuzia anapata woga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…