[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu fikiria nje ya box,huyo dingi iko siku hatokuwepo..je na wale wasio na madingi? Shauri yako ndio mwanzo wa kupakatwa na kuliwa "kipira" usiseme hukuonywa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah lolmdanganye mshua wako kua kuna mijeba inataka kukupumlia,ishaandaa kabisa KY jelly,ila ukiipa pesa ina hairisha azima yao. Nakuhakikishia kua mshua wako ataweka rehani kibanda chake ili akuokoe.
Una umri gani?Habar wadau nilikuwa nasoma ule uzi wa jins ya kupangua mizinga nikajifunza kitu kumbe kuna jamaa hatak kunipa pesa yngu ananikwepa tu sasa nikaona nike na hii thread hasa kwa sisi ambao bado 2 years tumalize chuo tunahitaj msaada zaid maana ndio tunapna life la kujitegemea lile.... sasa basi tusibishane apa pesa ndio kila kitu hata vitu vingi tunavofikiria kufanya kikwazo huwa pesa sasa tunaomba tuprane mbinu za kuwapiga mading mizinga mikubwa mikubwa
Nawasilisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah kumbe una file lake? LolWewe SI unafanya kazi ya It posta...umepanga Moshi Bar...huwa unaenda Gongo la mboto na Ukonga kuwaangalia wadada wenye mawezere...lakini hakuvutii kwakuwa hawana sura nzuri...
Baba yako ameoa mke mdogo anawatoto wakike TU.....na Huyu ndo mpendawa hadi baba yako kakusahau Wewe Kaka yako na Mama yako ..
Ushawai kubaka mdada...na hua Unapenda WANAWAKE wenye manyonyo Mkuuubwa kwani unayanyonya Sana[emoji3][emoji3][emoji3]
Umejuaje baba yangu alinifundisha kujitegemea mpaka mimi niwaambie nyie alichonifundisha?Tuambie baba ako alikufundishaje kujitegemea mwenzetu...sisi walitupeleka.shule ili tuweze kujitegemea
Na shule Sio bure...Japo wanasema ni bure
Hawa first born wanasumbuaga sn wenyewe kipind wanasoma nan alikuwa anawasimamiaMuonee huruma mzee wako basi.
Sitakuja kusahau jamaa flani chuo kila mwaka alikuwa anamtandika mzee wake laki 4 ya project hewa, mzee akikazia jamaa anaenda kuwapa simu rafiku zake wajifanya ndio wanaomsimamia kijana kwenye projekt๐๐.
Ngoma ikafika kwa bro wake msomi aliekuwa anaambiwa na mzee amtumie dogo pesa, yani inakuwa pembe tatu muamala kukamilika, kwanza dogo anamwambia mzee shida, pili mzee anamwambia bro wake hio shida, tatu bro akiona shida ina ulazima ndio atatuma pesa.
Sasa jamaa akampiga kizinga mzee wake anataka laki 4 ya project, mzee akafikisha kwa bro wake, bro wake akacheka akamtupia waya dogo akamwambia ana rafiki yake ambae ni mwalim (lecturer) hapa chuoni yeye hana namba yake kwahio dogo aende kumuomba namba ili wabonge na bro kuhusi hizo project, jamaa ikabidi asingizie huyo lecturer hayupo na project imeahirishwa ๐๐.
Dogo karudi likizo bro wake ndo anamwambia unachofanya huko chuoni hakuna nisichojua, ujipange sana.
Hii ni kesi ya wizi ioTangaza unataka kuona changisha pesa ukishapata mtaji potea halafu sema kwamba ulienda kuoa kijijini ,baada ya muda unapiga picha na demu yeyote huku umevaa suti unapost facebook bila caption inakuwa imeisha hiyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alikomeshwa.Muonee huruma mzee wako basi.
Sitakuja kusahau jamaa flani chuo kila mwaka alikuwa anamtandika mzee wake laki 4 ya project hewa, mzee akikazia jamaa anaenda kuwapa simu rafiku zake wajifanya ndio wanaomsimamia kijana kwenye projekt[emoji23][emoji23].
Ngoma ikafika kwa bro wake msomi aliekuwa anaambiwa na mzee amtumie dogo pesa, yani inakuwa pembe tatu muamala kukamilika, kwanza dogo anamwambia mzee shida, pili mzee anamwambia bro wake hio shida, tatu bro akiona shida ina ulazima ndio atatuma pesa.
Sasa jamaa akampiga kizinga mzee wake anataka laki 4 ya project, mzee akafikisha kwa bro wake, bro wake akacheka akamtupia waya dogo akamwambia ana rafiki yake ambae ni mwalim (lecturer) hapa chuoni yeye hana namba yake kwahio dogo aende kumuomba namba ili wabonge na bro kuhusi hizo project, jamaa ikabidi asingizie huyo lecturer hayupo na project imeahirishwa [emoji23][emoji23].
Dogo karudi likizo bro wake ndo anamwambia unachofanya huko chuoni hakuna nisichojua, ujipange sana.
Apo ndio huwa unafurahishaga nimekupa offer siku nikija uko banana ntapita kwako nikunyonye manyonyo kwa lisaa moja tu ndan ya miez sita utafurahia manyonyo yatakuwa makubwa utalinga kila njiaManyonyo is Bae...manyonyo is life
Kuwa na madingi ambao hawajasoma raha sana me kipindi nipo shule nilikua nampiga sound mzee namwambia nimevunja chemistry sasa ticha kasema nitoe elf 20 lasivyo nafukuzwa shule basi mzee anagombaa weee mwisho napewa hiyo hela naambiwa kalipe kosa lako uvunje tena hiyo chemistry utahama huu mji, dah nimekumbuka mbali sana aisee.Habar wadau nilikuwa nasoma ule uzi wa jinsi ya kupangua mizinga nikajifunza kitu kumbe kuna jamaa hataki kunipa pesa yngu ananikwepa tu sasa nikaona nike na hii thread hasa kwa sisi ambao bado 2 years tumalize chuo tunahitaj msaada zaid maana ndio tunapna life la kujitegemea lile.
Sasa basi tusibishane apa pesa ndio kila kitu hata vitu vingi tunavofikiria kufanya kikwazo huwa pesa sasa tunaomba tuprane mbinu za kuwapiga mading mizinga mikubwa mikubwa
Nawasilisha