Tupeane mbinu za kuwapiga madingi "Mizinga "

Tupeane mbinu za kuwapiga madingi "Mizinga "

renamaizo

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2014
Posts
2,134
Reaction score
3,064
Habar wadau nilikuwa nasoma ule uzi wa jinsi ya kupangua mizinga nikajifunza kitu kumbe kuna jamaa hataki kunipa pesa yngu ananikwepa tu sasa nikaona nike na hii thread hasa kwa sisi ambao bado 2 years tumalize chuo tunahitaj msaada zaid maana ndio tunapna life la kujitegemea lile.

Sasa basi tusibishane apa pesa ndio kila kitu hata vitu vingi tunavofikiria kufanya kikwazo huwa pesa sasa tunaomba tuprane mbinu za kuwapiga mading mizinga mikubwa mikubwa

Nawasilisha
 
Unajua kwasasa nimekuja kugundua kuwa kuna uongo nilikuwa namuongopea mzee anipe pesa na ananipa ila ninahisi alikuwa anajua kuwa namwongopea basi tu anaamua kupotezea maana hata mimi mwanangu akija niambia uongo kama huo nikimpa nitakuwa tu nimeamua kumpa.
 
Wewe SI unafanya kazi ya It posta...umepanga Moshi Bar huwa unaenda Gongo la mboto na Ukonga kuwaangalia wadada wenye mawezere...lakini hakuvutii kwakuwa hawana sura nzuri.

Baba yako ameoa mke mdogo anawatoto wakike tu na Huyu ndo mpendawa hadi baba yako kakusahau Wewe Kaka yako na Mama yako ..


Ushawai kubaka mdada na hua Unapenda WANAWAKE wenye manyonyo Mkuuubwa kwani unayanyonya Sana[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wewe SI unafanya kazi ya It posta...umepanga Moshi Bar...huwa unaenda Gongo la mboto na Ukonga kuwaangalia wadada wenye mawezere...lakini hakuvutii kwakuwa hawana sura nzuri...
Acha nicheke tu !! Yaan usinheandika manyonyp ninheshangaa afu mods wanazingua sn ule uzi ungetrend wiki nzima sema waliufutilia mbal
 
Badala ya mtoto wa kiume kumuomba pesa baba ako kwanini usimuombe akufundishe njia za kujitegemea mwenyewe?
 
Badala ya mtoto wa kiume kumuomba pesa baba ako kwanini usimuombe akufundishe njia za kujitegemea mwenyewe?
Tuambie baba ako alikufundishaje kujitegemea mwenzetu...sisi walitupeleka.shule ili tuweze kujitegemea
Na shule Sio bure...Japo wanasema ni bure
 
Back
Top Bottom