Habar wadau nilikuwa nasoma ule uzi wa jinsi ya kupangua mizinga nikajifunza kitu kumbe kuna jamaa hataki kunipa pesa yngu ananikwepa tu sasa nikaona nike na hii thread hasa kwa sisi ambao bado 2 years tumalize chuo tunahitaj msaada zaid maana ndio tunapna life la kujitegemea lile.
Sasa basi tusibishane apa pesa ndio kila kitu hata vitu vingi tunavofikiria kufanya kikwazo huwa pesa sasa tunaomba tuprane mbinu za kuwapiga mading mizinga mikubwa mikubwa
Nawasilisha
Sasa basi tusibishane apa pesa ndio kila kitu hata vitu vingi tunavofikiria kufanya kikwazo huwa pesa sasa tunaomba tuprane mbinu za kuwapiga mading mizinga mikubwa mikubwa
Nawasilisha