Tupeane mikasa ya Krisimasi

mgendege

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2020
Posts
322
Reaction score
388
Tumelala polisi baada ya jana usiku mida ya saa nane usiku tulikuwa kwenye bar jilani na mitaa ya nyumbani wakati tumo ndani kuna jamaa akaja kututonya kwamba kuna difenda nje walio kuwepo inje wamekatwa mwenye bar akatwambia tuwe kimya alafu akafunga mlango kwa ndani mala mlango unagongwa mtu anatukana kumamaye zenu fungua mlango kunajama alikua amelewa zaidi yetu akajibu kama ni maskari mnafirwa hatuwaogopi na mlango hatufungui gafla mlango ulivunjwa tukajikuta tuna amblia kipigo cha mbwa mwizi na tuko ndani ya difenda kipigo kile pombe zilikata gafla nikajikuta kama sijakunywa wiki nzima hivi ndo natoka selo wame nilamba laki moja wengine nime waacha ndani Cha kushanga wahudumu wa ile bar wali washusha njiani wakati tuna enda kituoni
 
Umeandika uongo bar gani ina mlango ? ?
Mkuu umewazia mlango wambao au ni geti mkuu yale ya kufungia katikati tulisikia kishindo Cha geti likafunguka hapo sikujua walifunguaje Nita kupa feedback nika angalie lilifungukaje
 
Tunamalizia Kikao cha ukoo, tuanza jambo letu la leo
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha pole mkuu

Hao wahudumu wameachiwa sababu ni wanawake mwanamke huwezi shindana nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…