Joan lewis
JF-Expert Member
- Jan 3, 2019
- 993
- 1,463
Jmn nimechelewa kuona hii postBrother! Hebu tuendelee kuchit chat.
Au sogea kiwanja tusogeze mkesha wa sikukuu. 🥂
Shida hapo wewe unakua umegonga malayaShalom,
Siku hizi wanawake nao hawatunzi hisia za minyanduano. usipomcheki hakutafuti.
Huwa najiulizaga sana sipati majibu, shida ni mimi nina shoo mbovu kwa mademu zangu , ni mizimu haitaki au Mademu wanakunywa dawa za ganzi ili wasipate hisia za k.udumu tunapowapa shoo kali.
Kitu Cha ajabu kabisa unakuta unatoka na demu hata mara 3 au 5 na unapiga shoo kimtelezo ila anakuwa yuko radhi kuachana na anaweza asikutafute hata miezi 6 na hapo umemla shoo mtelezo awamu zote na akaaishie hivo usipomtafuta na yeye hakutafuti.
Kinyume chake asili ya mwanamke ukishamla anataka muendelezo ila sasa ajabu nyakati hizi demu unamla utadhani anakuja kwenye shoo akiwa kameza dawa za ganzi.
Sijaelewa nimebaki na viulizo ila ukimtaka tena anakuja. hii ni fumbo kubwa sana yaani mademu nao wanaweza kupotezea kama wanaume imekaaje hii?
Inaachaje kuwa majanga wakati ni second language kwetu, nadhani unatakiwa utupongeze sababu tunajaribu na kujifunza.
Kama kuna ambacho hakijaeleweka kwenye hizo sentensi will appreciate marekebisho.
Thank you.
🤔🤔Tafadhali uache kubishana na watu humu. Hatutaki shida sisi. Ukae kwa kutulia.
Umemaliza Kila kitu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukiona uumii tena kuhusu mapenz jua ushakua malaya.
Kuumia ndio wale wanaokunya sumu na kupiga risasi wapenz wao..?Ukiona uumii tena kuhusu mapenz jua ushakua malaya.
Sasa mngetafuta chumba mnywe wine halafu mkiss na kupelekeana moto, hapo ndio msamaha unakuwa mtamu na umekamilika. [emoji23][emoji23][emoji23]I apologize for using harsh language towards you, and I hope you don't take it personally. I admire your patience and positivity; you're a shining example that good-hearted people still exist.
Kuna sehemu nilisema hili. Hata kwenye uchumi, wanawake wengi wameinuka baada ya wanaume kuwatelekeza halafu wanahamisha skills kwa wengine na vizazi vyao.They learned from the best! Vitu vingi wanawake wamejifunza kwa wanaume, wamejipimp kuendana na mahitaji ya nyakati za sasa na aina ya wanaume waliopo.
My opinion.
NAKAZIASiku hizi wanawake wanapiga "hit and run" na akishakula mara moja harudii tena kuna siku tumekutana washkaji zaidi ya wanne demu katuzunguka wote katumega na hataki mazoea we unaongea nini?
Zamani hata wake za watu tulikua tunaambiwa ooh mwanamke akishatoka nje anahamisha mapenzi, siku hizi mwanamke anatoka nje na akirudi macho makavu anakomaa na penzi la mumewe humuambii kitu..! Maisha yanaenda kasi sana..
Ahsante kwa ushauri , binti kiziwi naomba tulitafakari hili wazo zuri lililotukukaSasa mngetafuta chumba mnywe wine halafu mkiss na kupelekeana moto, hapo ndio msamaha unakuwa mtamu na umekamilika. [emoji23][emoji23][emoji23]
SubhanaLlah , ramadhani yote nije na uzi wa namna hiyo ! mimi sijawahi kuwa na ID zaidi ya hii miaka yote hapa Jf ..
Hapo ndo Joannah anachanganyiwa anapenda na kutaka vyote viwili.Kwa sasa utakumbukwa kama unatoa maokoto,,,hata upige mauno vipi kama mfuko haupo njema hawana habari na wewe
Bichwa komwe maaamaeeeNakuagiza mwigilu ulichukue hili ukalitazame tuone tunakweñda vipi
Kumbuka madogo mapalestina yanapiga mihayo kwa njaa.I apologize for using harsh language towards you, and I hope you don't take it personally. I admire your patience and positivity; you're a shining example that good-hearted people still exist.