Tupeane Mikasa ya Mapenzi: Kwanini pamoja na kumnyandua kimtelezo mara kadhaa siku hizi mademu wana nguvu ya kupotezea?

Tupeane Mikasa ya Mapenzi: Kwanini pamoja na kumnyandua kimtelezo mara kadhaa siku hizi mademu wana nguvu ya kupotezea?

Msisahau siku hizi watu hutumia Contraceptives ili kuzuia mimba. Hapo hizo ndio zimezika ashk, Ladha na Raha ya mapenzi ya mwanamke kwa meeen.

Tena ukiwa na shows kali au romantic ndio kbsaaa maana unazidi kumchosha.. hao wahuni wanatoropoka pesa pesa ujue kinachosex ni pesa sio ww ck zikikata au kupungua utachanganyikiwa mara mbili
 
Shalom,

Siku hizi wanawake nao hawatunzi hisia za minyanduano. usipomcheki hakutafuti.

Huwa najiulizaga sana sipati majibu, shida ni mimi nina shoo mbovu kwa mademu zangu , ni mizimu haitaki au Mademu wanakunywa dawa za ganzi ili wasipate hisia za k.udumu tunapowapa shoo kali.

Kitu Cha ajabu kabisa unakuta unatoka na demu hata mara 3 au 5 na unapiga shoo kimtelezo ila anakuwa yuko radhi kuachana na anaweza asikutafute hata miezi 6 na hapo umemla shoo mtelezo awamu zote na akaaishie hivo usipomtafuta na yeye hakutafuti.

Kinyume chake asili ya mwanamke ukishamla anataka muendelezo ila sasa ajabu nyakati hizi demu unamla utadhani anakuja kwenye shoo akiwa kameza dawa za ganzi.

Sijaelewa nimebaki na viulizo ila ukimtaka tena anakuja. hii ni fumbo kubwa sana yaani mademu nao wanaweza kupotezea kama wanaume imekaaje hii?
Shida hapo wewe unakua umegonga malaya
 
Wanawake wanawaza pesa wanaamini ndio suluhu ya kupata furaha yao. Na haya mambo yamenza na zile kauli za "wewe mpe pesa tu" huu upuuzi nimeusikia hata watu wazima wakiongea.

Wanawake ni kama watoto, unachomwambia au wanachokisema wanaume wao wanakiamini na kukishika kama muongozo wa namna ya kuishi.

Wanawake walikuwa na tamaa ya mafanikio na pesa ila sio kama ya sasa.

Kwasasa ni kama wanawake wameadopt tabia za kiume za kutaka pesa ili wajisimamie bills zao halafu wakipata wanatafuta wanaume dhaifu wa kuolewa nao ili wawapelekeshe kama vitoto.

Haya yamesababishwa na kundi la wapumbavu wachache wasiojua maana ya kuwa mwanaume na kumuongoza mwanamke.

Wanawake kwasasa haoni haja ya mahusiano sababu security ya maisha inapatikana nje ya mahusiano tofauti na zamani.

Ila muda ni mwalimu mzuri tutarudi tena pale tulipotokea kwa gharama kubwa sana muda si mrefu.
 
I apologize for using harsh language towards you, and I hope you don't take it personally. I admire your patience and positivity; you're a shining example that good-hearted people still exist.
Sasa mngetafuta chumba mnywe wine halafu mkiss na kupelekeana moto, hapo ndio msamaha unakuwa mtamu na umekamilika. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
They learned from the best! Vitu vingi wanawake wamejifunza kwa wanaume, wamejipimp kuendana na mahitaji ya nyakati za sasa na aina ya wanaume waliopo.

My opinion.
Kuna sehemu nilisema hili. Hata kwenye uchumi, wanawake wengi wameinuka baada ya wanaume kuwatelekeza halafu wanahamisha skills kwa wengine na vizazi vyao.
 
Siku hizi wanawake wanapiga "hit and run" na akishakula mara moja harudii tena kuna siku tumekutana washkaji zaidi ya wanne demu katuzunguka wote katumega na hataki mazoea we unaongea nini?

Zamani hata wake za watu tulikua tunaambiwa ooh mwanamke akishatoka nje anahamisha mapenzi, siku hizi mwanamke anatoka nje na akirudi macho makavu anakomaa na penzi la mumewe humuambii kitu..! Maisha yanaenda kasi sana..
NAKAZIA
 
I apologize for using harsh language towards you, and I hope you don't take it personally. I admire your patience and positivity; you're a shining example that good-hearted people still exist.
Kumbuka madogo mapalestina yanapiga mihayo kwa njaa.
 
Back
Top Bottom