Joan lewis
JF-Expert Member
- Jan 3, 2019
- 993
- 1,463
Msisahau siku hizi watu hutumia Contraceptives ili kuzuia mimba. Hapo hizo ndio zimezika ashk, Ladha na Raha ya mapenzi ya mwanamke kwa meeen.
Tena ukiwa na shows kali au romantic ndio kbsaaa maana unazidi kumchosha.. hao wahuni wanatoropoka pesa pesa ujue kinachosex ni pesa sio ww ck zikikata au kupungua utachanganyikiwa mara mbili
Tena ukiwa na shows kali au romantic ndio kbsaaa maana unazidi kumchosha.. hao wahuni wanatoropoka pesa pesa ujue kinachosex ni pesa sio ww ck zikikata au kupungua utachanganyikiwa mara mbili