Tupeane Mikasa ya Mapenzi: Kwanini pamoja na kumnyandua kimtelezo mara kadhaa siku hizi mademu wana nguvu ya kupotezea?

Tupeane Mikasa ya Mapenzi: Kwanini pamoja na kumnyandua kimtelezo mara kadhaa siku hizi mademu wana nguvu ya kupotezea?

It's really puzzling me, seems mademu wengi hawataki relationships bila maokoto, nikama tunawanunua mademu zetu kuliko hata machangu, there cases unaona it's cheaper hooking a changu kuliko Hawa mguchiro
Tatizo wale wa manzese na mwananyamala uwa ni shootime hamna denda wala kunyonya chuchu inabidi kukaza kwa Hawa kina nguchiro wa kitaa
 
It's really puzzling me, seems mademu wengi hawataki relationships bila maokoto, nikama tunawanunua mademu zetu kuliko hata machangu, there cases unaona it's cheaper hooking a changu kuliko Hawa mguchiro
Kwanini kwa changu ulipie? Huoni changu anafaidi kuliko demu-wo? Changu anapata good dick na analipwa weeee!

Nadhani wameona ni vyema na haki wote wawe machangu.

Unless unijibu kwa kituo anachopata demu wako cha zaidi.
 
Inaachaje kuwa majanga wakati ni second language kwetu, nadhani unatakiwa utupongeze sababu tunajaribu na kujifunza.

Kama kuna ambacho hakijaeleweka kwenye hizo sentensi will appreciate marekebisho.

Thank you.
Vizuri mimi pia kiswahili hususani nimejifunza humu
 
Vizuri mimi pia kiswahili hususani nimejifunza humu
Feel free kuandika vyovyote unavyoweza, ukikosea utarekebishwa.

Naamini unafahamu kazi ya msingi ya lugha. (kurahisisha mawasiliano)

Kama umekuwa unacommunite na wazungu wenye kiingereza chao utaelewa how patient they appear wanapocommunicate na non native English speaker.
 
Inaachaje kuwa majanga wakati ni second language kwetu, nadhani unatakiwa utupongeze sababu tunajaribu na kujifunza.

Kama kuna ambacho hakijaeleweka kwenye hizo sentensi will appreciate marekebisho.

Thank you.
Umeongea vema ukiona mtu anakosoa lugha huyo hajaishi maisha ambayo ni diverse, it's only in Tanzania people laugh with their idiotic senses
 
Feel free kuandika vyovyote unavyoweza, ukikosea utarekebishwa.

Naamini unafahamu kazi ya msingi ya lugha. (kurahisisha mawasiliano)

Kama umekuwa unacommunite na wazungu wenye kiingereza chao utaelewa how patient they appear wanapocommunicate na non native English speaker.
I apologize for using harsh language towards you, and I hope you don't take it personally. I admire your patience and positivity; you're a shining example that good-hearted people still exist.
 
Siku hizi wanawake wanapiga "hit and run" na akishakula mara moja harudii tena kuna siku tumekutana washkaji zaidi ya wanne demu katuzunguka wote katumega na hataki mazoea we unaongea nini?

Zamani hata wake za watu tulikua tunaambiwa ooh mwanamke akishatoka nje anahamisha mapenzi, siku hizi mwanamke anatoka nje na akirudi macho makavu anakomaa na penzi la mumewe humuambii kitu..! Maisha yanaenda kasi sana..
Uwiiiii nimecheka! Kwamba macho makavu 😂😂😂
 
Back
Top Bottom