Tupeane nondo jinsi ya kupita kwenye usaili wa tume ya taifa ya uchaguzi

Tupeane nondo jinsi ya kupita kwenye usaili wa tume ya taifa ya uchaguzi

Mike Moe

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2019
Posts
319
Reaction score
335
Afisa mwandikishaji jimbo la tabora mjini seif. S. Seif ametoa tangazo la walioitwa kwenye usaili wa waandishi wasaidizi na waendeshaji wa vifaa vya bayometriki jimbo la tabora mjini utakaofanyika katika ukumbi wa halmashauri ya manispaa ya tabora siku ya tarehe 11-12/7/2024 kuanzia saa 8:00AM

Karibuni wadau tupeane maujanja jinsi ya kutoboa kwenye usaili kwa wale wenye uzoefu yani tayari walishawahi kufanya usaili huu karibuni mtujuze maswali yanayoulizwa huko ndani ya chumba cha usaili vitu gani vya kuenda navyo siku ya usaili
 
Hapo bhana,sio kwamba nakuvunja moyo,angalia majina ya watu walio omba alafu Sasa,jaribu kuwachukua maelezo,km Kuna watu unawafaham na km kunamtu aliwahi fanya hiyo interview
Ila connection hapo ni muhim,hizi interview za nafasi za mda wengi wanoingia hata sifa hawana
 
Hapo bhana,sio kwamba nakuvunja moyo,angalia majina ya watu walio omba alafu Sasa,jaribu kuwachukua maelezo,km Kuna watu unawafaham na km kunamtu aliwahi fanya hiyo interview
Ila connection hapo ni muhim,hizi interview za nafasi za mda wengi wanoingia hata sifa hawana
Nimepitia majina ya tulioitwa katika kata niliyopo majina manne kati ya yote ni walimu walionifundisha kipindi niko O level na mmoja ni msichana aliyekuwa amenitangulia darasa moja enzi hizo tunasoma wacha hiyo tar ifike twende kwenye usaili tukajionee wengi ni watu wa aina gani
 
Afisa mwandikishaji jimbo la tabora mjini seif. S. Seif ametoa tangazo la walioitwa kwenye usaili wa waandishi wasaidizi na waendeshaji wa vifaa vya bayometriki jimbo la tabora mjini utakaofanyika katika ukumbi wa halmashauri ya manispaa ya tabora siku ya tarehe 11-12/7/2024 kuanzia saa 8:00AM

Karibuni wadau tupeane maujanja jinsi ya kutoboa kwenye usaili kwa wale wenye uzoefu yani tayari walishawahi kufanya usaili huu karibuni mtujuze maswali yanayoulizwa huko ndani ya chumba cha usaili vitu gani vya kuenda navyo siku ya usaili
Tabora mmefikiwa tayari? majina ya walioitwa kwenye usaili yanabandikwa wapi? au kwenye kata zao? wacha nimpigie rafki angu aliomba pia yuko tabora
 
Tabora mmefikiwa tayari? majina ya walioitwa kwenye usaili yanabandikwa wapi? au kwenye kata zao? wacha nimpigie rafki angu aliomba pia yuko tabora
Ndio ni kwenye kata uliyoombea
 
Tabora mmefikiwa tayari? majina ya walioitwa kwenye usaili yanabandikwa wapi? au kwenye kata zao? wacha nimpigie rafki angu aliomba pia yuko tabora
Ndio ni kwenye kata uliyoombea
 
Nimepitia majina ya tulioitwa katika kata niliyopo majina manne kati ya yote ni walimu walionifundisha kipindi niko O level na mmoja ni msichana aliyekuwa amenitangulia darasa moja enzi hizo tunasoma wacha hiyo tar ifike twende kwenye usaili tukajionee wengi ni watu wa aina gani
Mchukue maelezo mapema km una muweza,sio lzm iwe direct yeye atajiongeza km ni mtu wa kukusaidia atakusaidia km atakaza achana nae,all Zen best
 
Hapo bhana,sio kwamba nakuvunja moyo,angalia majina ya watu walio omba alafu Sasa,jaribu kuwachukua maelezo,km Kuna watu unawafaham na km kunamtu aliwahi fanya hiyo interview
Ila connection hapo ni muhim,hizi interview za nafasi za mda wengi wanoingia hata sifa hawana
Naomba kuleta mrejesho kwenye hii komenti ndugu yangu baada ya usahili kufanyika nilifanikiwa kupenya namshukuru mungu nilipokea meseji ya kuitwa kwenye mafunzo, ila kwa nilichokiona siku ya interview na kwa watu tuliofanikiwa kupenya swala la connection halikuwa na nafasi kwa asilimia kubwa siwezi kusema asilimia mia uwezo wako wa kujibu maswali kwa ufasaha ndio unaokupa kipaumbele
 
Naomba kuleta mrejesho kwenye hii komenti ndugu yangu baada ya usahili kufanyika nilifanikiwa kupenya namshukuru mungu nilipokea meseji ya kuitwa kwenye mafunzo, ila kwa nilichokiona siku ya interview na kwa watu tuliofanikiwa kupenya swala la connection halikuwa na nafasi kwa asilimia kubwa siwezi kusema asilimia mia uwezo wako wa kujibu maswali kwa ufasaha ndio unaokupa kipaumbele
Mkuu maswali haswa yanahusu nn?....natanguliza shukran
 
Naomba kuleta mrejesho kwenye hii komenti ndugu yangu baada ya usahili kufanyika nilifanikiwa kupenya namshukuru mungu nilipokea meseji ya kuitwa kwenye mafunzo, ila kwa nilichokiona siku ya interview na kwa watu tuliofanikiwa kupenya swala la connection halikuwa na nafasi kwa asilimia kubwa siwezi kusema asilimia mia uwezo wako wa kujibu maswali kwa ufasaha ndio unaokupa kipaumbele
MASWALI yalikuwa ya aina gani
 
Bila shaka hayo maswali yatakuwa yanahusu zoezi la uandikishaji
 
Afisa mwandikishaji jimbo la tabora mjini seif. S. Seif ametoa tangazo la walioitwa kwenye usaili wa waandishi wasaidizi na waendeshaji wa vifaa vya bayometriki jimbo la tabora mjini utakaofanyika katika ukumbi wa halmashauri ya manispaa ya tabora siku ya tarehe 11-12/7/2024 kuanzia saa 8:00AM

Karibuni wadau tupeane maujanja jinsi ya kutoboa kwenye usaili kwa wale wenye uzoefu yani tayari walishawahi kufanya usaili huu karibuni mtujuze maswali yanayoulizwa huko ndani ya chumba cha usaili vitu gani vya kuenda navyo siku ya usaili
Kadi ya CCM na walauwe uwe mtoto wa wale mashangingi na mamaza ya CCM
 
Naomba kuleta mrejesho kwenye hii komenti ndugu yangu baada ya usahili kufanyika nilifanikiwa kupenya namshukuru mungu nilipokea meseji ya kuitwa kwenye mafunzo, ila kwa nilichokiona siku ya interview na kwa watu tuliofanikiwa kupenya swala la connection halikuwa na nafasi kwa asilimia kubwa siwezi kusema asilimia mia uwezo wako wa kujibu maswali kwa ufasaha ndio unaokupa kipaumbele
Tupe mfano wa hayo maswali
 
Mkoa Kagera wilaya za Muleba, Karagwe na Bukoba manispaa majina yametoka usaili tarehe 22 mwezi huu. Kwa taarifa zaidi tembelea website za halmashauri .
 
Mkuu maswali haswa yanahusu nn?....natanguliza shukran
Mm nilingia kama mwendeshaji wa vifaa vya bayometriki niliulizwa swali moja tu nalo tofauti kati ya BVR kit na Desktop Kompyuta, nilipita kwenye usaili kwa sasa niko kazini
 
Back
Top Bottom