Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani Kama Post Zitafika Hadi December Ni Mbali Sana Huko... MweI Wa 10 Nadhani Vijana Wa Namba K Watakuwa Washafika MikoaniDah Kwaio Kwa sisi kama tukibahatika kupata nafac tunawasubiri Hawa wa December warudi ndo na sisi twende
Sikumbuki Kwa Kwelii ila Wanalipwa Above 460K+What about form6?
Just A person... Najua Machache Kuhusu Mafunzo Ya Jeshi La PolisiSawa mkuu…vip na ww ni polisi nn mkuu?
PORINI Kule Unakutana Na Watu Wa Kazi Ambao Hawakuangalii Usoni Mara 2... Ni Lazima Ufanye Mafunzo Kwa Ulazima Hata Kama HutakiIla c Kuna course zile ambazo ni lazima Kila mtu ahudhulie kama vile POLINI
Ukiachana na mshahara posho ni zipi na zipi mkuu?Sikumbuki Kwa Kwelii ila Wanalipwa Above 460K+
Vip ukitaka kwenda kujiendeleza kielimu hua wanaruhusu au kutoka ni kipengele?PORINI Kule Unakutana Na Watu Wa Kazi Ambao Hawakuangalii Usoni Mara 2... Ni Lazima Ufanye Mafunzo Kwa Ulazima Hata Kama Hutaki
Porini Ni Kulazimisha Mwili Tu Mambo Yaende... Mwishoni Wa Kozi One Month Before Kumaliza Ndo Vitengo Vinaanza Kama PARADE, JUDO etc
Wale Wa Vitengo Huteseka Sana Porini...
Vyote Vipo... Ni Kupangilia Muda Wako Uende Kumaliza Sala/Dua Zako Kwa Wakati...
Muhimu Uende Kote Huko Bila Kuathiri Ratiba Ya Mafunzo Kama Ilivyopangw
Hua ni muda Gani baada ya kuripoti ndo ni poriniPORINI Kule Unakutana Na Watu Wa Kazi Ambao Hawakuangalii Usoni Mara 2... Ni Lazima Ufanye Mafunzo Kwa Ulazima Hata Kama Hutaki
Porini Ni Kulazimisha Mwili Tu Mambo Yaende... Mwishoni Wa Kozi One Month Before Kumaliza Ndo Vitengo Vinaanza Kama PARADE, JUDO etc
Wale Wa Vitengo Huteseka Sana Porini...
Kiuhalisia Porini Ni Miezi 2 Kabla Ya Kumaliza Kozi Ambapo Mtaenda Kwa Awamu Za Kikombania....Hua ni muda Gani baada ya kuripoti ndo ni porini
Ingia chomboni ukajionee mwenyewe usitake kulijua jeshi sana ukiwa nje zaidi tutapata habari za mtaani tuKitengo gani ni kizuri eti wakuu maana nmeskia kuna vitengo kama upelelezi, utrafik, FFU, polisi kawaida wa kukaa kituoni na lindo, na vinginevingine uko?
Ila c Kuna course zile ambazo ni lazima Kila mtu ahudhulie kama vile POLINI
Posho Za Pango/Rent...Ukiachana na mshahara posho ni zipi na zipi mkuu?
Kujiendeleza Ni Kwa Kibali Maalum Mara nyingi ni baada ya miaka 3 au kwa maelekezo maalumu unaweza kwenda mapema sana kutokana na uhitaji wa Jeshi...Vip ukitaka kwenda kujiendeleza kielimu hua wanaruhusu au kutoka ni kipengele?
Ni KweliiiIngia chomboni ukajionee mwenyewe usitake kulijua jeshi sana ukiwa nje zaidi tutapata habari za mtaani tu
Daaah nakumbuka ile polini kule Nachingwea aiseee..Kiuhalisia Porini Ni Miezi 2 Kabla Ya Kumaliza Kozi Ambapo Mtaenda Kwa Awamu Za Kikombania....
Kila Askari Katika Kozi Lazima Apitie Porini Kwa Muda Wa Miezi 2 Au Labda Maelekezo Tofauti Toka Kwa Wakufunz...
Kuna Muda Porini Ni Mwezi Tu Wa Mchakamchaka Mnene Kisha Mnamaliza Pori...
Acha kupanga watu.. labda unazungumzia intake nyingine tofaut na hii ya May 9Endeleeni kubishana watu walisha ripoti TPS kitambo
Shusha nondo kaka😁Daaah nakumbuka ile polini kule Nachingwea aiseee..
Polini pasikie tuu
umekula na umesomeshwa na hela za rushwa mkuu, Tubu!Hapana ila nimeishi maisha yangu mengi na watu waliopita ccp kwa kifupi Mimi ni mtoto wa kota...! Police wamenilea na kunisomesha...!
Hakuna jambo la police ambalo silifahamu😂😂😂
Kitengo gani ni kizuri eti wakuu maana nmeskia kuna vitengo kama upelelezi, utrafik, FFU, polisi kawaida wa kukaa kituoni na lindo, na vinginevingine uko?