- Thread starter
- #241
Kwa kawaida kombania Moja inaweza kua na kuruta kama wangapKiuhalisia Porini Ni Miezi 2 Kabla Ya Kumaliza Kozi Ambapo Mtaenda Kwa Awamu Za Kikombania....
Kila Askari Katika Kozi Lazima Apitie Porini Kwa Muda Wa Miezi 2 Au Labda Maelekezo Tofauti Toka Kwa Wakufunz...
Kuna Muda Porini Ni Mwezi Tu Wa Mchakamchaka Mnene Kisha Mnamaliza Pori...