Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaah ni kweli mkuuYeah sema kupambana muhimu
Oyaa mkuu acha kunipa moyo basi, mimi Nina Bachelor ila niliombea form 6 hiyoAlaf naskia Kwa sisi wa fani tuna nafasi ndogo ya kupata ukilinganisha na wenzetu wa four na six
Muhimu kupambana mkuu, hakuna mtu ambae yupo fit 100%Dah nna shida ya mgongo kidogo ila ivoivo nitaenda kupambana ukouko Hadi kieleweke
Sema Kuna muda nakua hof ila tukipata vinafac hususani kama una ivi una kaconnection kidog sio kakukaachia ni kupambana tuuuMuhimu kupambana mkuu, hakuna mtu ambae yupo fit 100%
Uwezekano ni mkubwa zaidi coz nafac za fani zaidi hua zinahitaji maelekezoOyaa mkuu acha kunipa moyo basi, mimi Nina Bachelor ila niliombea form 6 hiyo
Naam mkuu, mgongo unashida gan masta?Sema Kuna muda nakua hof ila tukipata vinafac hususani kama una ivi una kaconnection kidog sio kakukaachia ni kupambana tuuu
Ahaa hapo safi ngoja tuoneUwezekano ni mkubwa zaidi coz nafac za fani zaidi hua zinahitaji maelekezo
Nani uyo kasemaSimnasema police siyo kazi nyie
Kuna muda walishawai nambia disk za chini zimevimba kwaajili ya kukaa sana coz c unajua tena cc wa IT Muda mwingi ni kukaaNaam mkuu, mgongo unashida gan masta?
Ahaa dah pole sana mkuuKuna muda walishawai nambia disk za chini zimevimba kwaajili ya kukaa sana coz c unajua tena cc wa IT Muda mwingi ni kukaa
Nilishapoa nduguAhaa dah pole sana mkuu
Nilishapoa ndugu
Ngoja tusubir muda ufike tukapambanie ugaliNilishapoa ndugu
Hapana ila nimeishi maisha yangu mengi na watu waliopita ccp kwa kifupi Mimi ni mtoto wa kota...! Police wamenilea na kunisomesha...!
Hakuna jambo la police ambalo silifahamu😂😂😂
Kuna mdau wangu apa ananambiia kukimbia ni Kila cku km 14 mwaka mzma duh