Mtu Mbadi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2024
- 403
- 457
Km 14 kawaida watu watakimbia tujw sio kila siku but polisi ni kilasiku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Km 14 kawaida watu watakimbia tujw sio kila siku but polisi ni kilasiku
Hao C.I.D wanachukuliwa wa level gani masta? na wanahusika na niniNi miezi 10 tu...inayoambatana na mazoezi ya utayari, vikwazo, masomo ya Sheria za aina zote...
Kwa kifupi askari wanafundishwa taaluma zote...ikiwemo Sheria za barabarani...hivyo askari akitoka depo anaweza kupangiwa kazi yoyote ya uaskari. Askari alie fuzu anaweza kuwa trafiki, customer care, F.F.U N.K
Isipo kuwa C.I.D Hawa kidogo Kuna kaufaulu na aina ya level ya elimu Huwa wanazingatia ili wapewe mafunzo hayo ya u_C.I.D
Kwa muktadha huo Kila askari anaweza kupata mafunzo ya awali ya upelelezi ila wabobezi wa upelelezi wanao Toka depo moja kwa moja Huwa wanapewa mafunzo mengine ya ziada...!
Walio kidhi vigezo vya kuwa C.I.D Huwa na darasa lao maalum.
Ila mafunzo mengine yote ya utimamu, utayari, uzalendo, UTII na vikwazo wanapewa pamoja...!
Hakuna mazoezi magumu ndio maana kozi za POLISI Huwa wanamaliza wote kama walivyo Anza japo idadi ya wahitimu inaweza kupungua kutokana na baadhi ya kuruta kufukuzwa kwa makosa mbali mbali ama wengine kukimbia wenyewe na wachache sana Hupata maradhi ya kawaida ambayo hupelekea wao kufa...!
Ila sio kifo kinacho sababishwa na ugumu wa mazoezi...kozi ya POLISI sio ngumu kiasi Cha kusababisha kifo kama kozi nyinginezo japo na wao pia Wana makomandoo wao...
Hao C.I.D wanachukuliwa wa level gani masta? na wanahusika na nini
Unavoniita dogo kama unanijua vile.. [emoji28]Wakuambie nini dogo?
Asante kwa taarifa mastaHata kidato Cha nne ila wenye ufaulu mkubwa...! Kipindi jeshi linaanzishwa darasa la 7 walikuwa wengi hivyo la saba...walipewa mafunzo ya C.I.D
Hawa ni wapelelezi au investigation officer wengi wao Huwa awavai uniform kabisa...na Kuna wengine awaripoti vituoni kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
POLISI Ina intelligence kubwa sana...!
Mkuu utumishi ndo usha give up tayariMungu ani bless niingie depo mwaka huu
Popote kambi, now age imeenda mchawi force number kitaa kigumu sana kwa upande wangu.Mkuu utumishi ndo usha give up tayari
Nakuelewa sana mkuu Cha msingi mtu uingie kwenye system ukiwasubiri sana utumishi wanaweza kukuchelewesha ni kuforce tu kote kote.Popote kambi, now age imeenda mchawi force number kitaa kigumu sana kwa upande wangu.
Wewe nenda polisi dondoo za niniacheni woga nyie vijana sisi tumekaa jkt mwaka mzima bado tulikuwa tunapenda muda uongezwe nyie miezi mitatu inawatia hofu.Jamani nia na madhumuni ya Uzi huu ni kupeana updates mbalimbali Kwa wale tulio omba ajira za jeshi la polisi 2024 kama Kuna yeyote anajua chochote kuhusiana na CCP akuje atupe mwanga, mbinu za kutoboa pamoja na life la huko
Asantni🙏
kIgezo ni roho ngumu,katili,kuwapa watu kesi hewaJamani nia na madhumuni ya Uzi huu ni kupeana updates mbalimbali Kwa wale tulio omba ajira za jeshi la polisi 2024 kama Kuna yeyote anajua chochote kuhusiana na CCP akuje atupe mwanga, mbinu za kutoboa pamoja na life la huko
Asantni🙏
Pia kama una connection uku au Mbaga nisaidie mkuu pm iko wazi.Nakuelewa sana mkuu Cha msingi mtu uingie kwenye system ukiwasubiri sana utumishi wanaweza kukuchelewesha ni kuforce tu kote kote.
Akipatikana nitakucheki pmPia kama una connection uku au Mbaga nisaidie mkuu pm iko wazi.
Ninashukuru sana mkuu kwa moyo wako.Akipatikana nitakucheki pm
Dah ila we jamaaakIgezo ni roho ngumu,katili,kuwapa watu kesi hewa
Rts hizo ni mbio ndefu ma sio kila siku mkuu na kwa khnghk ni 42 - 45Km..Km 14 chache, naskia JW Km 45[emoji28]
Sikupingi mkuu,Rts hizo ni mbio ndefu ma sio kila siku mkuu na kwa khnghk ni 42 - 45Km..
Ngoja waje watuambieHivi ni lini watu wataitwa kwenye usahili
Ngoj tuwasubirHivi ni lini watu wataitwa kwenye usahili