Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Hivi wakuu kwa mwenye uelewa atujuze kdgo, ukiingia na chet cha form6 itakuchukua miaka mingap kupiga kaz alaf ndo utoke kwenda kujiendeleza kielimu?

Na je ukitoka kwenda kujiendeleza kielimu kuna pesa yoyote utapewa ya kujikidhi au ni suala mshahara wako tu kuingia basi, na je ukitoka kwenda kusoma unaweza toka kwa mda wa miaka5 ukawa unasoma tu??
Naongozea, swali hapa vipi kwa ambae ataingia na form 6 lakini Ana Bachelor kuna uwezekano akishaingia aka submit vyeti vyake vya degree? msaada please mwenye kujua
 
Huwezi jua usijikatie tamaa zidisha maombi ndugu yangu[emoji1431]
Mm jaman nimeomba lakini nilifanya udanganyifu kozi niliyoisomea walihitaji diploma na mm Nina bachelor ilikuwa ngumu kuombea cheti Cha form six kwakuwa nimehitimu miaka mingi kwahiyo hapa nimejikatia tamaa muda tu hata hayo majina ya interview sidhani kama nitatoboa
Kikubwa dua, huku ukisubiri pdf
 
Ukiwa kwenye mikoa yenye vyuo karibu utajisomesha mwenyewe 🤣 🤣 🤣 kwasababu mwenye shida ya ku upgrade elimu ni wewe mwenyewe.

ila wakikutaka usomee elimu yao yenye manufaha na kazi yao watakulipa mshahala wako kama kawaida japo hivi karibuni walio kuwa wanaenda kusomea elimu mbali mbali walikuwa wanajigharamia baadhi ya gharama.

Kwa kifupi utakacho lipwa ni mshahala wako tu...na ukimaliza ulichokuwa unasomea utasubmit vyeti vyako kwaajili ya kupandishwa mshahala.

MAOMBI ya kwenda kusoma kwa askari wapya nadhani Huwa ni baada ya kutumikia kwa miaka 3 na hutoka kwa dhamu hivyo ukiomba unaweza kukubaliwa au kukataliwa ila ukikubaliwa itakubidi usubiri Hadi dhamu Yako ifike hata kama ni miaka 3 nyingine mbele🤣🤣🤣

Na kwa elimu zao za kipolisi ni bahati tu unaweza ukawa na mwaka 1 ukachaguliwa kwenda kusoma elimu yao. Kutokana na ufaulu wako na masomo uliyo soma

Raha ya jeshi zitoke nafasi za elimu zao ndio utafaidi...! Ila sio elimu zetu za kiraia
Anhaa, nimekusoma kaka
 
Ukiwa kwenye mikoa yenye vyuo karibu utajisomesha mwenyewe 🤣 🤣 🤣 kwasababu mwenye shida ya ku upgrade elimu ni wewe mwenyewe.

ila wakikutaka usomee elimu yao yenye manufaha na kazi yao watakulipa mshahala wako kama kawaida japo hivi karibuni walio kuwa wanaenda kusomea elimu mbali mbali walikuwa wanajigharamia baadhi ya gharama.

Kwa kifupi utakacho lipwa ni mshahala wako tu...na ukimaliza ulichokuwa unasomea utasubmit vyeti vyako kwaajili ya kupandishwa mshahala.

MAOMBI ya kwenda kusoma kwa askari wapya nadhani Huwa ni baada ya kutumikia kwa miaka 3 na hutoka kwa dhamu hivyo ukiomba unaweza kukubaliwa au kukataliwa ila ukikubaliwa itakubidi usubiri Hadi dhamu Yako ifike hata kama ni miaka 3 nyingine mbele🤣🤣🤣

Na kwa elimu zao za kipolisi ni bahati tu unaweza ukawa na mwaka 1 ukachaguliwa kwenda kusoma elimu yao. Kutokana na ufaulu wako na masomo uliyo soma

Raha ya jeshi zitoke nafasi za elimu zao ndio utafaidi...! Ila sio elimu zetu za kiraia
Kwahyo ukishamaliza masomo unapeleka vyeti tu uongezewe mshahara alafu cheo hupandishwi??…maana apo ukishakua na degree nategemea uwe na cheo cha assistant inspector(nyota moja)
 
100,000/= haizidina
Ukiwa kwenye mikoa yenye vyuo karibu utajisomesha mwenyewe 🤣 🤣 🤣 kwasababu mwenye shida ya ku upgrade elimu ni wewe mwenyewe.

ila wakikutaka usomee elimu yao yenye manufaha na kazi yao watakulipa mshahala wako kama kawaida japo hivi karibuni walio kuwa wanaenda kusomea elimu mbali mbali walikuwa wanajigharamia baadhi ya gharama.

Kwa kifupi utakacho lipwa ni mshahala wako tu...na ukimaliza ulichokuwa unasomea utasubmit vyeti vyako kwaajili ya kupandishwa mshahala.

MAOMBI ya kwenda kusoma kwa askari wapya nadhani Huwa ni baada ya kutumikia kwa miaka 3 na hutoka kwa dhamu hivyo ukiomba unaweza kukubaliwa au kukataliwa ila ukikubaliwa itakubidi usubiri Hadi dhamu Yako ifike hata kama ni miaka 3 nyingine mbele🤣🤣🤣

Na kwa elimu zao za kipolisi ni bahati tu unaweza ukawa na mwaka 1 ukachaguliwa kwenda kusoma elimu yao. Kutokana na ufaulu wako na masomo uliyo soma

Raha ya jeshi zitoke nafasi za elimu zao ndio utafaidi...! Ila sio elimu zetu za kiraia
ukiingia na chet cha 4m6 mshaara ni bei gani mkuu??
 
Kwahyo ukishamaliza masomo unapeleka vyeti tu uongezewe mshahara alafu cheo hupandishwi??…maana apo ukishakua na degree nategemea uwe na cheo cha assistant inspector(nyota moja)
Au wezi kupanda cheo bila kwenda kozi ya cheo...Kila cheo kina kozi yake...vyeo vyote vya jeshi lazima uteseke labda vile vya kutunukiwa tu ndio unavipata kisiasa siasa ila vyeo vya kijeshi vyote ni mateso kwenda mbele😂😂😂​
 
Au wezi kupanda cheo bila kwenda kozi ya cheo...Kila cheo kina kozi yake...vyeo vyote vya jeshi lazima uteseke labda vile vya kutunukiwa tu ndio unavipata kisiasa siasa ila vyeo vya kijeshi vyote ni mateso kwenda mbele😂😂😂​
Hahah lazma uteseke kwanza au sio😁😁
 
Iyo pdf sijui wanatoa lini maana ni mwezi na masiku sasa yashapita
 
Back
Top Bottom