Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Wanakitilia ni someoind of added advantageHawa kitilii maanani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakitilia ni someoind of added advantageHawa kitilii maanani
Approximately how much??...Na wanalipwa posho
Naongozea, swali hapa vipi kwa ambae ataingia na form 6 lakini Ana Bachelor kuna uwezekano akishaingia aka submit vyeti vyake vya degree? msaada please mwenye kujuaHivi wakuu kwa mwenye uelewa atujuze kdgo, ukiingia na chet cha form6 itakuchukua miaka mingap kupiga kaz alaf ndo utoke kwenda kujiendeleza kielimu?
Na je ukitoka kwenda kujiendeleza kielimu kuna pesa yoyote utapewa ya kujikidhi au ni suala mshahara wako tu kuingia basi, na je ukitoka kwenda kusoma unaweza toka kwa mda wa miaka5 ukawa unasoma tu??
Huwezi jua usijikatie tamaa zidisha maombi ndugu yangu[emoji1431]
Kikubwa dua, huku ukisubiri pdfMm jaman nimeomba lakini nilifanya udanganyifu kozi niliyoisomea walihitaji diploma na mm Nina bachelor ilikuwa ngumu kuombea cheti Cha form six kwakuwa nimehitimu miaka mingi kwahiyo hapa nimejikatia tamaa muda tu hata hayo majina ya interview sidhani kama nitatoboa
100,000/= haizidiApproximately how much??...
Anhaa, nimekusoma kakaUkiwa kwenye mikoa yenye vyuo karibu utajisomesha mwenyewe 🤣 🤣 🤣 kwasababu mwenye shida ya ku upgrade elimu ni wewe mwenyewe.
ila wakikutaka usomee elimu yao yenye manufaha na kazi yao watakulipa mshahala wako kama kawaida japo hivi karibuni walio kuwa wanaenda kusomea elimu mbali mbali walikuwa wanajigharamia baadhi ya gharama.
Kwa kifupi utakacho lipwa ni mshahala wako tu...na ukimaliza ulichokuwa unasomea utasubmit vyeti vyako kwaajili ya kupandishwa mshahala.
MAOMBI ya kwenda kusoma kwa askari wapya nadhani Huwa ni baada ya kutumikia kwa miaka 3 na hutoka kwa dhamu hivyo ukiomba unaweza kukubaliwa au kukataliwa ila ukikubaliwa itakubidi usubiri Hadi dhamu Yako ifike hata kama ni miaka 3 nyingine mbele🤣🤣🤣
Na kwa elimu zao za kipolisi ni bahati tu unaweza ukawa na mwaka 1 ukachaguliwa kwenda kusoma elimu yao. Kutokana na ufaulu wako na masomo uliyo soma
Raha ya jeshi zitoke nafasi za elimu zao ndio utafaidi...! Ila sio elimu zetu za kiraia
Kwahyo ukishamaliza masomo unapeleka vyeti tu uongezewe mshahara alafu cheo hupandishwi??…maana apo ukishakua na degree nategemea uwe na cheo cha assistant inspector(nyota moja)Ukiwa kwenye mikoa yenye vyuo karibu utajisomesha mwenyewe 🤣 🤣 🤣 kwasababu mwenye shida ya ku upgrade elimu ni wewe mwenyewe.
ila wakikutaka usomee elimu yao yenye manufaha na kazi yao watakulipa mshahala wako kama kawaida japo hivi karibuni walio kuwa wanaenda kusomea elimu mbali mbali walikuwa wanajigharamia baadhi ya gharama.
Kwa kifupi utakacho lipwa ni mshahala wako tu...na ukimaliza ulichokuwa unasomea utasubmit vyeti vyako kwaajili ya kupandishwa mshahala.
MAOMBI ya kwenda kusoma kwa askari wapya nadhani Huwa ni baada ya kutumikia kwa miaka 3 na hutoka kwa dhamu hivyo ukiomba unaweza kukubaliwa au kukataliwa ila ukikubaliwa itakubidi usubiri Hadi dhamu Yako ifike hata kama ni miaka 3 nyingine mbele🤣🤣🤣
Na kwa elimu zao za kipolisi ni bahati tu unaweza ukawa na mwaka 1 ukachaguliwa kwenda kusoma elimu yao. Kutokana na ufaulu wako na masomo uliyo soma
Raha ya jeshi zitoke nafasi za elimu zao ndio utafaidi...! Ila sio elimu zetu za kiraia
ukiingia na chet cha 4m6 mshaara ni bei gani mkuu??Ukiwa kwenye mikoa yenye vyuo karibu utajisomesha mwenyewe 🤣 🤣 🤣 kwasababu mwenye shida ya ku upgrade elimu ni wewe mwenyewe.
ila wakikutaka usomee elimu yao yenye manufaha na kazi yao watakulipa mshahala wako kama kawaida japo hivi karibuni walio kuwa wanaenda kusomea elimu mbali mbali walikuwa wanajigharamia baadhi ya gharama.
Kwa kifupi utakacho lipwa ni mshahala wako tu...na ukimaliza ulichokuwa unasomea utasubmit vyeti vyako kwaajili ya kupandishwa mshahala.
MAOMBI ya kwenda kusoma kwa askari wapya nadhani Huwa ni baada ya kutumikia kwa miaka 3 na hutoka kwa dhamu hivyo ukiomba unaweza kukubaliwa au kukataliwa ila ukikubaliwa itakubidi usubiri Hadi dhamu Yako ifike hata kama ni miaka 3 nyingine mbele🤣🤣🤣
Na kwa elimu zao za kipolisi ni bahati tu unaweza ukawa na mwaka 1 ukachaguliwa kwenda kusoma elimu yao. Kutokana na ufaulu wako na masomo uliyo soma
Raha ya jeshi zitoke nafasi za elimu zao ndio utafaidi...! Ila sio elimu zetu za kiraia
Kwahyo ukishamaliza masomo unapeleka vyeti tu uongezewe mshahara alafu cheo hupandishwi??…maana apo ukishakua na degree nategemea uwe na cheo cha assistant inspector(nyota moja)
Sijui...!100,000/= haizidina
ukiingia na chet cha 4m6 mshaara ni bei gani mkuu??
Asante Sana🙏Pole sana asee
Hahah lazma uteseke kwanza au sio😁😁Au wezi kupanda cheo bila kwenda kozi ya cheo...Kila cheo kina kozi yake...vyeo vyote vya jeshi lazima uteseke labda vile vya kutunukiwa tu ndio unavipata kisiasa siasa ila vyeo vya kijeshi vyote ni mateso kwenda mbele😂😂😂
Hadi elfu 5000 huko😂😂😂Ivi huko ccp pdf ya mwisho wanaweza chukua watu wangap wakuu?
Anhaa…Sema waombaji safar hii naona watakua ni wengi maombi yanawza fika10000 aiseeHadi elfu 5000 huko😂😂😂
Bora asijiandae...atajilisha matango pori bureeeIsee nenda ukiwa umejiandaa kwelikweli kuwa inaenda kujifunza ukomavu kilele pori ni noumaa isee