Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Lakini Kuna polisi wengine wafupi mkuu Huwa nawaona au
Mkuu wale wamepita kwa connection ila mimi kama mimi siwezi kubali mtu mfupi kazini sawa mkuu.....

Its jokes bana hakuna ishu kama hiyo mambo ya urefu na ufupi awa weki serious kabisa ila usiwe andunje sasa
 
Mkuu wale wamepita kwa connection ila mimi kama mimi siwezi kubali mtu mfupi kazini sawa mkuu.....

Its jokes bana hakuna ishu kama hiyo mambo ya urefu na ufupi awa weki serious kabisa ila usiwe andunje sasa
Sawa 😆
 
Wakuu kuna jipya gani uko mbona PT wapo kmya sna, no PDF mpka sasa🤷
 
Hakuna mkuu hata kwenye page yao ni hali ile ile..

Alafu mkuu hvi majibu yanatoka kule kwa account baada ya usaili au kabla..
Hakuna mkuu hata kwenye page yao ni hali ile ile..

Alafu mkuu hvi majibu yanatoka kule kwa account baada ya usaili au kabla..
nafikir majina ya usaili watatoa kweny PDF na watapost kweny official page zao or unless otherwise watatoa taarifa za utaratibu wa mtu kujua kama kaitwa kweny usaili
 
Back
Top Bottom