Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Mpaka leo kimyaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio huwa tunazingatia kipara na urefuHivi kigezo cha urefu kinazingatiwa sana? Na kipara ni woteee kama jkt😃😃
Lakini Kuna polisi wengine wafupi mkuu Huwa nawaona auNdio huwa tunazingatia kipara na urefu
Mkuu wale wamepita kwa connection ila mimi kama mimi siwezi kubali mtu mfupi kazini sawa mkuu.....Lakini Kuna polisi wengine wafupi mkuu Huwa nawaona au
Sawa 😆Mkuu wale wamepita kwa connection ila mimi kama mimi siwezi kubali mtu mfupi kazini sawa mkuu.....
Its jokes bana hakuna ishu kama hiyo mambo ya urefu na ufupi awa weki serious kabisa ila usiwe andunje sasa
Anz kujifunza wimbo wa TaifaTupieni madini basi tupate kujua tujiandae wapi wakuu ili tupite kwenye usaili wao
Ahahaha kuwa seriously weweAnz kujifunza wimbo wa Taifa
HahahaAnz kujifunza wimbo wa Taifa
Madogo wa Dec Wana kula kiapo lini????? Waliozama DecIsee nenda ukiwa umejiandaa kwelikweli kuwa inaenda kujifunza ukomavu kilele pori ni noumaa isee
Duuh kumbe mpaka watoke ao wa dec!Madogo wa Dec Wana kula kiapo lini????? Waliozama Dec
Yes Kuna hao wameingiia 1/Dec /2023Duuh kumbe mpaka watoke ao wa dec!
Hakuna mkuu hata kwenye page yao ni hali ile ile..Wakuu vip kuna jipya gani huko PT mpka sasa??
Hakuna mkuu hata kwenye page yao ni hali ile ile..
Alafu mkuu hvi majibu yanatoka kule kwa account baada ya usaili au kabla..
nafikir majina ya usaili watatoa kweny PDF na watapost kweny official page zao or unless otherwise watatoa taarifa za utaratibu wa mtu kujua kama kaitwa kweny usailiHakuna mkuu hata kwenye page yao ni hali ile ile..
Alafu mkuu hvi majibu yanatoka kule kwa account baada ya usaili au kabla..