Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tumia akili bas na ww hata ile ya kuzaliwa tu inatosha mkuu….kat yang mm na yeye nan amemkashfu mwezie apo ama wapi mm nimemkashfu??🤔…..nanukuu alichokiandika “nyie ndo mnaotaka kuingia kazini mnawaza hela tu na kusumbua watu kwa rushwa” sasa anaanzaje kuniambia mm hivo kua ntasumbua watu na rushwaa hivii ni sawa hata kwako ungeambiwa hivo??…….ni kweli alikurupuka lait angekua amepitia post za nyuma vzr asingeniandikia hivyo, swala la kuulizia mishahara sidhani kama ni dhambi mpka yy aniambie hivo na pia lengo lakuulizia hivyo ni ili nipate usahihi sabab yupo aliepost mishahara humu ya polis na ikasemekana sio kweli alichokipost na mwana jf mmoja akajitolea kua kuna siku atasema jinsi mishahara inavyolipwa na ndo huyu niliekua namkumbusha atuambie.
 
Boe kuwa na mpangilio mzuri wa maneno utakosa msaada hivi hivi unajiona kwa kujibu watu kwa namna yako io,kwakuwa ina kashfa kwa namna flan...
Kama uyu braza mnaemjibu apa kwa wale tulikuwa tunakesha kwenye uzi ule wa "nafasi za ajira za polisi" uyu braza dystonia7 lazima ushakutana nae kwa namna moja ama nyingine...na lonja alizokuwa anatoa ni za ndani na ni reliable kabisa me nimeenda interview tatu za polisi na kila kitu alichosemaga uyu jamaa n vile vile from namna panel list inavyokaa...maswali yanavyokuwa na namna ya wewe kuact infront ya panel list...

Sasa we nyokaa unakuja unamwambia "acha kukurupuka" 😂
nashindwa kukuelewa kwa kweli
Ujumbe wako uo👆👆
 
Boe kuwa na mpangilio mzuri wa maneno utakosa msaada hivi hivi unajiona kwa kujibu watu kwa namna yako io,kwakuwa ina kashfa kwa namna flan...
Kama uyu braza mnaemjibu apa kwa wale tulikuwa tunakesha kwenye uzi ule wa "nafasi za ajira za polisi" uyu braza dystonia7 lazima ushakutana nae kwa namna moja ama nyingine...na lonja alizokuwa anatoa ni za ndani na ni reliable kabisa me nimeenda interview tatu za polisi na kila kitu alichosemaga uyu jamaa n vile vile from namna panel list inavyokaa...maswali yanavyokuwa na namna ya wewe kuact infront ya panel list...

Sasa we nyokaa unakuja unamwambia "acha kukurupuka" 😂
nashindwa kukuelewa kwa kweli
Wapi nimeweka mpangilio mbaya wa maneno mkuu??
 
Hivi kwa watu wa usalama na police au jeshini, ukitaka kazi ya teknolojia na mawasiliano ni lazima upitie mafunzo ya kijeshi? I mean kama wanavoenda JKT jalamba
 
una tukulipe bilioni ngap kwa mwezi madam?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mishahara hiyo? Kuna kitu nimekiamini kuhusu taasisi ya police, nilikua nasikia tyuu, ila leo nimeaminii.

Sema kwenye posho ndo wanabaruzaa sanaa, woiiiiih
 
Wakuu natumai tunasubir kwa hamu majina ya usahil hivyo basi mungu atusaidie tuweze kufanikiwa na usahili tupite na tukalitumikie taifa, kwa lonja nilionayo ni kwamba mchongo upo kweny process za ukamilishwaj na hivyo siku yoyote ukiwa tamat pdf itaachiliwa, idadi ya watu wanaohitajika ni 3500+ na ni hivi degree holder wanohitajika kwenda ccp hawatozid80, diploma hawatozid80 na certificate hawatozid80 ni hayo tu wakuu.
ona huu ujinga kwenye elimu 😥 hii nch🚮🚮
 
Wakuu na jobless wote poleni na kazi na majukumu kwa ujumla. Vip hawa polisi za ndani mlio pata au kusikia ni lini wakaachia PDF
naona wamembizana kua “ngoja tutulie kimya kwanza hawa majobless waendelee kuungua na jua tuu huko mtaani”😂😂😂 😂
 
Back
Top Bottom